KMkhalid
Senior Member
- Feb 26, 2018
- 118
- 227
Kwema wakuu? Natatua vipi tatizo la kwenye Recruitment portal ya serikali, Unaaply kazi flani na degree yako ikiwemo kwenye orodha ya Academic qualifications walizotaja lakini ukiapply inakataa, inasema it's not relevant.
Msaada tafadhali kwa anayefahamu..
Msaada tafadhali kwa anayefahamu..