Jina na maudhui nimesahau!!!!!!!!!!!!
Ni ya miaka michache tuuu iliyopita.Ilikuwa inaonyeshwa ITV.Nakumbuka starring alkuwa anauwezo wa kujibadilisha kuwa bonge la tiger.Pia alikuwa ana ndege,tai,ambaye alkuwa anamtumia kuchunguza maeneo mbalimali.Dah!!!!Nilikua naichek kipind kile under 10!!!!!!
Anayeikumbuka naomba anitajie jina.
hizo ninazo tena ktk hd
Dah!!!!!mkuuuu umeikosha sana roho yangu!!!!ndo hiii hiii yan.........BeastMaster
View attachment 524913
Mkuu kama ukipenda kuiangalia tena.Dah!!!!!mkuuuu umeikosha sana roho yangu!!!!ndo hiii hiii yan.........
Kama sijakosea iliitwa BEASTMASTER,,,kitambo sanaJina na maudhui nimesahau!!!!!!!!!!!!
Ni ya miaka michache tuuu iliyopita.Ilikuwa inaonyeshwa ITV.Nakumbuka starring alkuwa anauwezo wa kujibadilisha kuwa bonge la tiger.Pia alikuwa ana ndege,tai,ambaye alkuwa anamtumia kuchunguza maeneo mbalimali.Dah!!!!Nilikua naichek kipind kile under 10!!!!!!
Anayeikumbuka naomba anitajie jina.
Ili baadae aje kuwa muhengaZitunze sana kwa matumizi yako na kwa Vizazi vyako vijavyo.
asante broKama sijakosea iliitwa BEASTMASTER,,,kitambo sana
THE CROW, km na hii sio basi utakuwa sio itv.Dah.........sio hz ndugu.