House4Sale Anayehitaji chumba na sebule tabata segerea.

House4Sale Anayehitaji chumba na sebule tabata segerea.

Mhandisi Mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2010
Posts
7,206
Reaction score
12,693
Kwa yeyote anayehitaji sebule na chumba self maeneo ya tabata segerea just inbox me...
Kodi ni 100,000/= unalipa miezi sita..
No dalali nakupeleka kwa mwenye nyumba mkamalizane...
Patakua wazi from tarehe 1/4.
 
Kwa yeyote anayehitaji sebule na chumba self maeneo ya tabata segerea just inbox me...
Kodi ni 100,000/= unalipa miezi sita..
No dalali nakupeleka kwa mwenye nyumba mkamalizane...
Patakua wazi from tarehe 1/4.
na uzoefu wako humu hujui tangazo lililokamiilika linapaswa kuwaje?
 
Kwa yeyote anayehitaji sebule na chumba self maeneo ya tabata segerea just inbox me...
Kodi ni 100,000/= unalipa miezi sita..
No dalali nakupeleka kwa mwenye nyumba mkamalizane...
Patakua wazi from tarehe 1/4.
House 4sale unalipa laki laki hadi miezi sita umesha inunua...ndivyo nilivyo elewa, weka picha bro
 
Kwa yeyote anayehitaji sebule na chumba self maeneo ya tabata segerea just inbox me...
Kodi ni 100,000/= unalipa miezi sita..
No dalali nakupeleka kwa mwenye nyumba mkamalizane...
Patakua wazi from tarehe 1/4.
Kwa hiyo wewe mwenyewe ni dalali !!
 
Back
Top Bottom