Historia maana yake nini? Ni afadhali ya miaka minne je wewe uliyesoma ya miaka 2000 iliyopita na ukaiamini kuwa nabii Isa alikuwepo na Mtume Mohamed pia na mpka leo hivyo vitabu unavigwaya kati ya cha kwanza au cha pili mbona hujahoji? Historia husomwa kumufahamisha msomaji anakotoka alipo na anakoelekea mwandishi alikusudia kukufahamisha hujuma iliyofanywa na Lowasa kwa kushirikiana na Rostam Aziz ambaye pia ndiye anashirikiana naye kwenye Ukawa.