Expensive life JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 3,959 Reaction score 12,546 Aug 4, 2025 #1 Wakuu hao mashahidi wa siri ni kina nani? π
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,607 Aug 4, 2025 #2 Na mkewe
Ad majorem JF-Expert Member Joined Aug 11, 2018 Posts 1,106 Reaction score 1,678 Aug 4, 2025 #3 Expensive life said: Wakuu hao mashahidi wa siri ni kina nani? π View attachment 3431176 Click to expand... Hakunaga siri duniani. Watajulikana tuu.
Expensive life said: Wakuu hao mashahidi wa siri ni kina nani? π View attachment 3431176 Click to expand... Hakunaga siri duniani. Watajulikana tuu.
N Ndile wa Ulindula Member Joined Jul 3, 2025 Posts 26 Reaction score 17 Aug 4, 2025 #4 Kigaila anaweza kuwa miongoni mwao aseeeh
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 26,535 Reaction score 61,968 Aug 4, 2025 #5 Joka lenye makengeza nae anaweza kuwa shahidi wa sisiem
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 45,247 Reaction score 134,198 Aug 4, 2025 #6 Lazima tu wengi wao wanatoka Chadema maslahi. Na hapa ndipo utakapo amini kwa miaka mingi tulikuwa tunadanganywa na hawa wanasiasa wetu wachumia tumbo. Ahueni Lissu na timu yake wamekuja kuwaumbua.
Lazima tu wengi wao wanatoka Chadema maslahi. Na hapa ndipo utakapo amini kwa miaka mingi tulikuwa tunadanganywa na hawa wanasiasa wetu wachumia tumbo. Ahueni Lissu na timu yake wamekuja kuwaumbua.
Tindo Platinum Member Joined Sep 28, 2011 Posts 71,360 Reaction score 127,739 Aug 4, 2025 #7 John Mrema ni wa uhakika, hakuna mtu aliumia kama yeye kwa Mbowe kulambishwa mchanga kwenye uenyekiti. Anaweza kutumika kwa lolote dhidi y cdm.
John Mrema ni wa uhakika, hakuna mtu aliumia kama yeye kwa Mbowe kulambishwa mchanga kwenye uenyekiti. Anaweza kutumika kwa lolote dhidi y cdm.