Anaweza kupata certificate ya business kama amefeli hesabu?

Anaweza kupata certificate ya business kama amefeli hesabu?

SENGATI

Senior Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
127
Reaction score
26
Mdogo wangu amepata civ - 'E' hist - 'E' geo - 'E' kisw - 'C' engl - 'D' chem - 'D' bio - 'D' b/math - 'F'. Nataka akasome certificate yeyote ya business kati ya vyuo hivi 2; ita ya mwenge na cbe. Wadau naomba kufahau kama anaweza kupata nafasi.

Msaada tafadhali
asanteni sana
 
anaweza kusoma vyuo vingi tuMimi nilipata F hesabu bt nimemaliza Dip ya Bussiness administration in marketing st johns na mwaka huu nimeapply degree.Nimechaguliwa udom Education in commerce.KWahiyo mwambie asiwe na wasiwasi anaweza akasoma tena bila matatizo ila mwambie akaze sababu masomo ya biashara yana hesabu sana
 
Asante brother, ngoja nimpambanie akomae if possible aanze na certificate in customs and tax management pale ITA. Au mnaonaje wadau?
 
Mdogo wangu amepata civ - 'E' hist - 'E' geo - 'E' kisw - 'C' engl - 'D' chem - 'D' bio - 'D' b/math - 'F'. Nataka akasome certificate yeyote ya business kati ya vyuo hivi 2; ita ya mwenge na cbe. Wadau naomba kufahau kama anaweza kupata nafasi.

Msaada tafadhali
asanteni sana

Anaweza kusoma chuo chochote na kozi yoyote kwa ngazi ya cheti.
 
anaweza kusoma vyuo vingi tuMimi nilipata F hesabu bt nimemaliza Dip ya Bussiness administration in marketing st johns na mwaka huu nimeapply degree.Nimechaguliwa udom Education in commerce.KWahiyo mwambie asiwe na wasiwasi anaweza akasoma tena bila matatizo ila mwambie akaze sababu masomo ya biashara yana hesabu sana

Bed in commerce,mkopo unapata?au diploma hawapewi?
 
rafiki angu walioapply mwaka jana walipata mkopo tena wote walianzia asilimia 70 kwenda mbele.Nilimaliza nao Dip
 
Back
Top Bottom