KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,765
- 39,513
Nimejipa moyo tu ndugu....hata kiwanja huko mabwe pande sina itakuwa huko ndugu yangu........Na bado ingekuwa 70M. . . . .??!!!
Nimejipa moyo tu ndugu....hata kiwanja huko mabwe pande sina itakuwa huko ndugu yangu........Na bado ingekuwa 70M. . . . .??!!!
Nimejipa moyo tu ndugu....hata kiwanja huko mabwe pande sina itakuwa huko ndugu yangu........
Tuko pamoja mkuu, habari za majukumu ya ujenzi wa Taifa lisilo na mtandao wa kununua LUKU?Nimetania tu ndugu yangu.....ubavu huo ninao basi....bado tunajificha kwenye mabanda ya watu........
Jana nimesikia wahusika wanasema kuwa watalishughulikia haraka ipasavyo lakini hawakugusia suala la fidia kwa waathirika wa tatizo hilo......inasikitisha sana.......Tuko pamoja mkuu, habari za majukumu ya ujenzi wa Taifa lisilo na mtandao wa kununua LUKU?
Mkuu Tanesco hii wakilipa fidia mimi natangaza kuwania Urais Marekani.Jana nimesikia wahusika wanasema kuwa watalishughulikia haraka ipasavyo lakini hawakugusia suala la fidia kwa waathirika wa tatizo hilo......inasikitisha sana.......
Kweli mkuu......sitashangaa kusikia wamepandisha gharama za umeme ili kufidia hasara waliyoipata wao.......Mkuu Tanesco hii wakilipa fidia mimi natangaza kuwania Urais Marekani.
Hilo linawezekana na wala sitashangaa kwa jinsi akili zao zilivyo. Kwanza ningetegemea Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco angekuwa ameshawajibika mpaka kufikia sasa lakini wapo kimya kama hakuna kilichotokea.Kweli mkuu......sitashangaa kusikia wamepandisha gharama za umeme ili kufidia hasara waliyoipata wao.......
Sio anajifunza mkuu, mpiga picha anapiga picha kiwiziwizi kwa kujifichaficha, kitapelitapeli ndiomaana hajaweza kutoa maelezo yanayojitosheleza kibiasharaJinsi picha zilivyopigwa kunaashiria mpigaji anajifunza upigaji picha au kuna kitu kinafichwa, maana sioni sababu ya kuficha muonekano dhahiri wa biashara hiyo ndani na nje.
Hapo ndipo palinipa shaka kidogo, atakayejitosa hapo ndiye atakayefaidi yaliyomo.Sio anajifunza mkuu, mpiga picha anapiga picha kiwiziwizi kwa kujifichaficha, kitapelitapeli ndiomaana hajaweza kutoa maelezo yanayojitosheleza kibiashara
Habari za hiyo nyumba zinatisha kama ni kweli..eti kuna viumbe wa ajaabu huko..hakuna umeme lakini usiku taa zinawaka na sauti zinasikika.Mlinzi aliondoka kutokana na hasara ya chakula..debe la unga akitumia kwa siku tatu anapika chakula kingi lakini hashibi.