Anauza nyumba mpyaa 70m tu

Anauza nyumba mpyaa 70m tu

NAMTUMBA

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,939
Reaction score
600
Nyumba ipo Kitunda Mwanagati. Ina Residential License. Bei tsh.70m.
Maongezi yapo.
Contact zake: 0714259674
 

Attachments

  • IMG_20130512_073001.jpg
    IMG_20130512_073001.jpg
    585.8 KB · Views: 1,041
  • IMG_20141125_085020.jpg
    IMG_20141125_085020.jpg
    450.1 KB · Views: 965
  • IMG_20141223_083739.jpg
    IMG_20141223_083739.jpg
    419.8 KB · Views: 964
Nyumba ipo kitunda mwanagati. Ina Residential License. Bei tsh.70m. Maongezi yapo. Contact zake: 0714259674

Jinsi picha zilivyopigwa kunaashiria mpigaji anajifunza upigaji picha au kuna kitu kinafichwa, maana sioni sababu ya kuficha muonekano dhahiri wa biashara hiyo ndani na nje.
 
Mbona picha zenyewe umepiga kiwizi wizi ,kwa nini huonyeshi ndani kulivyo
 
Jinsi picha zilivyopigwa kunaashiria mpigaji anajifunza upigaji picha au kuna kitu kinafichwa, maana sioni sababu ya kuficha muonekano dhahiri wa biashara hiyo ndani na nje.
Ndani kasema finishing ya maana bado lakini pia kununua si lazima ukaone physical, huwezi nunua bila kuona mkuu.
 
Give specification of the house!

Nimetoa kwa muuzaji kufikisha biashara yake kwa wadau, mambo mengine muulize muuzaji. Alisema inavyumba vitatu, kimoja master bedroom, na ina lesseni ya makazi mambo mengine hata Mimi sijui. Mcheki muuzaji kwa hiyo namba yake.
 
Jinsi picha zilivyopigwa kunaashiria mpigaji anajifunza upigaji picha au kuna kitu kinafichwa, maana sioni sababu ya kuficha muonekano dhahiri wa biashara hiyo ndani na nje.

anataka upige simu halafu upoteze muda kwenda hadi nyumba ilipo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom