deibra
Member
- Jan 10, 2019
- 74
- 35
Habari zenu wanamember naombeni ushauri wenu...Niko kenya nasomaa chuo mwaka wa pili kwasasa kuna msichana nimetokeaa kumpendaa hii hali imekujaa baaada ya kuwa na ukaribu naye Sana'a....ikanibidi nifunguke hisia zangu zangu juu yake nikamuelezeaa kwamba nahitaji kuwa nae katikaa mahusiano....ila alichoniambiaa kwasasa haitowezekana kwasababu ataki kuchanganya mapenzi na masomo... Na chengine tuko katika course mojaa so hatowezaa kuwa na umakini katika masomo...akaniombaa tuwe marafiki tu kwasababu anajisiki huru na anapendaa kampani yangu...lakin mie ndo nishampendaa guys...