virginity
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 882
- 907
Nimatumaini Yangu kuwa mu wazima
Mimi ni mdada, imekuwa ni mwezi sasa tangu nifahamiane na huyu kaka na kuamua kuingia nae kwenye uhusiano aliniuliza kuhusu mtoto mwanzoni nami sikumficha nilimwambia ninae lakini baada yakumwambia hivo ameanza kunisumbua sikuizi eti nimzalie nayeye ili apate chata.
Nazani wanawake wenzangu mnajua tabia za hawa wanaume jinsi zinavyobadilika hata zaidi ya vinyonga naomba mawazo yenu ila matusi na dharau sitaki. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mdada, imekuwa ni mwezi sasa tangu nifahamiane na huyu kaka na kuamua kuingia nae kwenye uhusiano aliniuliza kuhusu mtoto mwanzoni nami sikumficha nilimwambia ninae lakini baada yakumwambia hivo ameanza kunisumbua sikuizi eti nimzalie nayeye ili apate chata.
Nazani wanawake wenzangu mnajua tabia za hawa wanaume jinsi zinavyobadilika hata zaidi ya vinyonga naomba mawazo yenu ila matusi na dharau sitaki. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app