Sasa mkuu kama unahuyo mchepuko aliyekutumia text, kama ni bora zaidi kuliko huyo mrembo uliye fanya nae kwanini usibaki na mchepuko?
Kama mchepuko sio bora kwanini usimwache huyo mchepuko.
Sasa kuepusha usumbufu.
Kama unampenda uliyenaye na sio mchepuko, NENDA MUELEZE UKWELI KWAMBA JANA ALIKUWA NI MWANAMKE MWINGINE aliye ni text, naomba samahan mpenz wangu, na mpigie simu yule mchepuko mwambie muachane
Kama unampenda mchepuko zaid, basi huyo anaelalamika muache, usimjibu endelea na mchepuko
Acha kuchezea chezea watoto wa watu, mkuu
Wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....
Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.
Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.
Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine
usimjibu kitu, baki na aliyekutumia sms...
Usimpotezee muda mtoto wa watu...
Acha umalaya....
Wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....
Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.
Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.
Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine
Brod darlin huu u-matchmaker nilijua umeshastaafu teh. Kumbe kipaji hakifagi eehUna akili sana dogo. Nina dada yangu katika bwana, ngoja nitakuitia.
Daah Imebidi nicheke tu, mbona kuleta utani na wasukuma wa huko ndani ndaniTafuta msg nzuri kuliko zote toka kwa michepuko yako then muoneshe then mwambie hiyo ndo sababu hukutaka aione maana hakuna njia yeyote ataweza kukuamini unless ni msukuma tena Wa ndani ndani kule
Yani sis darling hii kitu ipo kwa damu asee. Nafurahi kuona watu wakipendana kwa dhati. Sio figisu na uongo mwingi.Brod darlin huu u-matchmaker nilijua umeshastaafu teh. Kumbe kipaji hakifagi eeh
Ahhahaha brod darling it's true ni raha sana kuona watu wanapendana kwa dhati and kuna muda unatamani Sana fulani na fulani wawe pamoja, but inategemea wahusika watalichukuliaje hilo afu wenye kakipaji ka kuunganisha watu mpo wachache.Yani sis darling hii kitu ipo kwa damu asee. Nafurahi kuona watu wakipendana kwa dhati. Sio figisu na uongo mwingi.
BTW, sina sista katika bwana isipokuwa wewe..teh teh! Hembu Paulo afanye haraka....
wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....
Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.
Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.
Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine
Wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....
Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.
Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.
Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine
Sasa mkuu kama unahuyo mchepuko aliyekutumia text, kama ni bora zaidi kuliko huyo mrembo uliye fanya nae kwanini usibaki na mchepuko?
Kama mchepuko sio bora kwanini usimwache huyo mchepuko.
Sasa kuepusha usumbufu.
Kama unampenda uliyenaye na sio mchepuko, NENDA MUELEZE UKWELI KWAMBA JANA ALIKUWA NI MWANAMKE MWINGINE aliye ni text, naomba samahan mpenz wangu, na mpigie simu yule mchepuko mwambie muachane
Kama unampenda mchepuko zaid, basi huyo anaelalamika muache, usimjibu endelea na mchepuko
Acha kuchezea chezea watoto wa watu, mkuu