O Onesmo Kyauke Member Joined Feb 9, 2015 Posts 67 Reaction score 119 May 26, 2016 #1 Tunatafuta mtu aliyesomea ufagaji na hasa ufagaji wa nguruwe akafanye kazi katika shamba kubwa la nguruwe. Sifa kubwa awe na diploma ya mifugo na awe tayari kufanya kazi Mkoa wa Pwani. Kwa mawasiliano piga simu 0715 744518
Tunatafuta mtu aliyesomea ufagaji na hasa ufagaji wa nguruwe akafanye kazi katika shamba kubwa la nguruwe. Sifa kubwa awe na diploma ya mifugo na awe tayari kufanya kazi Mkoa wa Pwani. Kwa mawasiliano piga simu 0715 744518
Fuga Kisasa Senior Member Joined Jan 16, 2016 Posts 165 Reaction score 91 May 26, 2016 #2 Usijali mkuu Onesmo Kyauke, watakuja. Lakini pia ukihitaji automatic nipple drinkers kwaajili ya nguruwe wako ili uanze kufuga kisasa piga simu namba hii 0625-504952
Usijali mkuu Onesmo Kyauke, watakuja. Lakini pia ukihitaji automatic nipple drinkers kwaajili ya nguruwe wako ili uanze kufuga kisasa piga simu namba hii 0625-504952
JJ Traders Member Joined Dec 3, 2015 Posts 34 Reaction score 18 Jun 3, 2016 #3 Onesmo Kyauke said: Tunatafuta mtu aliyesomea ufagaji na hasa ufagaji wa nguruwe akafanye kazi katika shamba kubwa la nguruwe. Sifa kubwa awe na diploma ya mifugo na awe tayari kufanya kazi Mkoa wa Pwani. Kwa mawasiliano piga simu 0715 744518 Click to expand... vip mshahara bei gani???mim niko arusha lakin naweza kufanya kazi huko kifupi ni Vet Doctor
Onesmo Kyauke said: Tunatafuta mtu aliyesomea ufagaji na hasa ufagaji wa nguruwe akafanye kazi katika shamba kubwa la nguruwe. Sifa kubwa awe na diploma ya mifugo na awe tayari kufanya kazi Mkoa wa Pwani. Kwa mawasiliano piga simu 0715 744518 Click to expand... vip mshahara bei gani???mim niko arusha lakin naweza kufanya kazi huko kifupi ni Vet Doctor
alini alberto Member Joined Jun 6, 2015 Posts 69 Reaction score 28 Jun 12, 2016 #4 duh mimi niko interested na iyo kaz bt nina diploma ya general agriculture...... nipo mbeya
Mwanamaji JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 2,906 Reaction score 4,525 Mar 22, 2017 #5 Onesmo Kyauke said: Tunatafuta mtu aliyesomea ufagaji na hasa ufagaji wa nguruwe akafanye kazi katika shamba kubwa la nguruwe. Sifa kubwa awe na diploma ya mifugo na awe tayari kufanya kazi Mkoa wa Pwani. Kwa mawasiliano piga simu 0715 744518 Click to expand... Mkuu, ulishampata mtu huyo ?
Onesmo Kyauke said: Tunatafuta mtu aliyesomea ufagaji na hasa ufagaji wa nguruwe akafanye kazi katika shamba kubwa la nguruwe. Sifa kubwa awe na diploma ya mifugo na awe tayari kufanya kazi Mkoa wa Pwani. Kwa mawasiliano piga simu 0715 744518 Click to expand... Mkuu, ulishampata mtu huyo ?