Mapondo Mapoka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 274
- 135
Ana bachelor ya education na anatafuta kazi ya ualimu kwenye shule za private ila yuko tayari kusaini mkataba kuanzia miaka 2 nakuendelea. Mwenye taarifa zaidi tuwaailiane.
masomo gani?
muongezee mbinu za kujiajiriBado watu wanafikiria kuajiriwa tu?,kweli watu wamekariri.Mwambie a-google shule binafsi inayotafuta mwalimu,ikishindikana hiyo azurure mchana kutwa jua kali na bahasha mkononi.
Yeye yuko wapi mkoa gani?.Murage Msherwampamb.
Ana bachelor ya education na anatafuta kazi ya ualimu kwenye shule za private ila yuko tayari kusaini mkataba kuanzia miaka 2 nakuendelea. Mwenye taarifa zaidi tuwaailiane.
Feza sec.school
wanatafuta mwl wa science subjects
Pazuri hapo ka yuko Mwanza anaweza kwenda ktk shule ya secondary ya kiislam ya Thaqafa pale mjini mtaa wa Unguja,ile shule ni kaka zangu wawili ndio wana run pia kuna headmaster wao ni jamaa mmoja toka Uganda ana moyo swafi sana labda ungejaribu kulishughulikia hilo.Mr Murage Msherwampamba.yuko mwanza.
Mkuu nipm contact zao