Anatafuta Kazi, Secretary

Anatafuta Kazi, Secretary

Rayd

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
278
Reaction score
67
Ni Binti Wa Miaka 26, Yuko Dar, Anatafuta Kazi Kama Personal Secretary, Anao Ujuz Kwa Miaka 4, Iwe Kwenye Shule, Hosptal, Asante
 
Hizi kazi huwa zinatangazwa sana hajawahi kuomba na wala kuitwa ktk usaili? maana kama alishawahi kuomba na kuitwa ktk usaili na hakuchaguliwa, tena mara nyingi, aanze kuangalia udhaifu wake na ajifunze kwa wale waliofaulu usaili ktk kazi hii. hili nalo ni la muhimu sana jamani,

unakuta mtu anakomaa kutafuta kazi tu na anafanya usaili kila siku lakini lakini hatoki wala haangaiki kujua anakosea wapi, nakala nyingi zinatolewa na watu bure hasa ktk mitandao, mf; jinsi ya kujibu maswali ya usaili, tambua nini ufanye ili kushinda usaili nk. mtu hasomi wala hafuatilii.
 
Hizi kazi huwa zinatangazwa sana hajawahi kuomba na wala kuitwa ktk usaili? maana kama alishawahi kuomba na kuitwa ktk usaili na hakuchaguliwa, tena mara nyingi, aanze kuangalia udhaifu wake na ajifunze kwa wale waliofaulu usaili ktk kazi hii. hili nalo ni la muhimu sana jamani,

unakuta mtu anakomaa kutafuta kazi tu na anafanya usaili kila siku lakini lakini hatoki wala haangaiki kujua anakosea wapi, nakala nyingi zinatolewa na watu bure hasa ktk mitandao, mf; jinsi ya kujibu maswali ya usaili, tambua nini ufanye ili kushinda usaili nk. mtu hasomi wala hafuatilii.

wakat Nafas Znatoka Serikalin Alikua Kazn Mbeya Mboz, Na Kwa Sasa Nying Znaonekana Zoom, C Unaujua Mchezo Wa Zoom
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom