Anang'ang'ana nimtoe out.

Anang'ang'ana nimtoe out.

Cruel mpole

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
282
Reaction score
106
Anang'ang'ana nimtoe out huku mi nimebanwa na kazi za watu.Hata mwaka mpya wenyewe sijauenjoy coz nilikuwa nafanya kazi ya serikali.Eti wajameni,hata kama nimapenzi ya dhati,niache kazi then nimtoe out???
 
Anang'ang'ana nimtoe out huku mi nimebanwa na kazi za watu.Hata mwaka mpya wenyewe sijauenjoy coz nilikuwa nafanya kazi ya serikali.Eti wajameni,hata kama nimapenzi ya dhati,niache kazi then nimtoe out???

kazi njema kijana
 
haya mambo yalishamchosha The Boss 2013 na akasema hataki kuyaona yakijirudia 2014 umesikia kijana???
Kama vipi we mpe :boxing:
 
Last edited by a moderator:
Anang'ang'ana nimtoe out huku mi nimebanwa na kazi za watu.Hata mwaka mpya wenyewe sijauenjoy coz nilikuwa nafanya kazi ya serikali.Eti wajameni,hata kama nimapenzi ya dhati,niache kazi then nimtoe out???

mapenzi bila chapa, atakukimbia
 
fanya kazi kwanza, kazi ndyo kila kitu kama ungekuw huna kazi hata hiyo out ungeweza kumtoa utamtoa ukiwa free kama hataki hakupend huyo
 
wanawake wa hivyo wanapenda pesa..
mpe pesa mwambie atoke na rafiki yake au dada ako kama vipi..
na ajinunulie zawad akuvalie jioni,,,:wink2:
 
We mwanaume, tunga sheria, simamia sheria. Ukipoteza kazi atakukimbia na wengine pia watakukimbia
 
Ziba masikio, fanya kazi. Hakuna out isiyotegemea fedha ambayo ndiyo unaitafuta mda huu. Mpenzi wako ni mwanafunzi nini asiyrjua dhamani ya kazi? Roho ya mwachisha kazi inakunyemelea. Kazi kwanza,mapenzi baadae
 
Anang'ang'ana nimtoe out huku mi nimebanwa na kazi za watu.Hata mwaka mpya wenyewe sijauenjoy coz nilikuwa nafanya kazi ya serikali.Eti wajameni,hata kama nimapenzi ya dhati,niache kazi then nimtoe out???
HEHEHH,UTAENDA TU..
young-woman-pulling-young-man-tie-isolated-19463963.jpg
 
Baba katika Jina la YESU KRISTO, pokea Uponyaji Sasa, navunjavunja Kabisa Nguvu za "DEAR 2TOKE OUT JION", nateketeza kabisa mamlaka za "I LOV U DEAR", naharibu kabisa vshndo vya GEST, naondoa mapepo yote ya "KUCHAT UCKU KUCHA" nakataa yale majna yote ya knafk, et "DEAR, HONEY, SWEET ,DARLING,APPLE,MY CHOCLATE, MY HOHO, MY SUGAR" kwan hayo yote n ubatl m2pu!! Pokea Upako Wa KUKESHA UKIOMBA, baba mimina baraka zako wa2 waitane majna ya kipako,kama vile "WAPENDWA. §AMINA§
 
Kwani ni usiku hawezi kutoka mwenyewe? Au umepoteza funguo za nyumba?mpitishe hata dirishani.
 
Kazi kitu gani bhana, ziache mkuu, tena muende vacation kabsaaa
 
Itakuwa tu economically umeshake hivyo ni visababu tu..hata mie nilishavitumia sana...naona unanikunbusha my past..
 
Back
Top Bottom