Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
tatizo u r not keeping ur word!!!
sas ntakufata kila thread nikuchunge jamani!!!!??
i promose, this is the last time, alkini jamani na nyie muwe mnajitaidi kunielewa, sometimes mnanilaumu bure. nikifika dar nitajitahidi nionane uso kwa uso na atakayekuwa tayari, mjue kuwa i am ..................... si kama mnavyonifikiria!!!!!!!!!!!
HAYAi promose, this is the last time, alkini jamani na nyie muwe mnajitaidi kunielewa, sometimes mnanilaumu bure. nikifika dar nitajitahidi nionane uso kwa uso na atakayekuwa tayari, mjue kuwa i am ..................... si kama mnavyonifikiria!!!!!!!!!!!
Kumbe ile sala ya Pearl ilikuwa kwa ajili ya AK, hahahah!tatizo u r not keeping ur word!!!
sas ntakufata kila thread nikuchunge jamani!!!!??
......Sala inaendelea!!
basi jioni ya leo, tunapokwenda kujinyanyua juu ya uso wa bwana na kujinyenyekesha machoni pake, na tazama bwana tunakwenda kuwaweka hata maadui zetu mbele zako bwana. wewe ndiye unayejua kilichochema wala sisi hatujui kitu.
Jioni ya leo bwana, matazame mtumishi wako Pearl, tazama hata therengeti theregeti wake bwana, huku ukimwangazia nuru ya uso wako bwana Mungu wa majeshi.
Tazama hata AK anapotaka kupita kwenye yale mambo yetu bwana, sauti itoke na isikike masikioni mwake "therengeti hazifai kwa akili yako" na akimbie mahali hapo bwana.
Hizi adabu zote hizi umezitoa wapi? akilini au moyoni? kwani yamtokayo mtu mdomoni nado ayawazayo!!lakini yale ya moyoni husemwa kwa matendo yake.i promose, this is the last time, alkini jamani na nyie muwe mnajitaidi kunielewa, sometimes mnanilaumu bure. nikifika dar nitajitahidi nionane uso kwa uso na atakayekuwa tayari, mjue kuwa i am ..................... si kama mnavyonifikiria!!!!!!!!!!!
Hivi nani alisema hii kitu?? nitakuwa ni mimi, nimesahau
Du unafanya kama Tiger Woods sio!. Unapangalia kama wanane hivi.Huyo dada anayetegemea kuolewa na huyo jamaa atakayemwacha mke wake ni mjinga, period. Kuolewa katika mazingira yenye msingi mbovu kama huo spells disaster in every language.
Ni nini kinachomfanya huyo dada adhanie kuwa na yeye hataachwa na huyo jamaa na amfuate mwanamke mwingine? Na yeye huyo dada katika wanaume woooote walio makapera hajaona wala kupata anayemfaa hadi amsubiri mwanamme ambaye supposedly atamwacha mkewe? Absolutely laughably pathetic.
Heri yetu sisi tulioamua kutokuoa wala kutokuwa kwenye mahusiano na mtu mmoja. Hatuna wasiwasi wa eti nitamegewa demu wangu au kuachwa. Sisi ni kumega kwa kwenda bila kurudi nyuma.
Du unafanya kama Tiger Woods sio!. Unapangalia kama wanane hivi.
Mhnani kakudanganya kuwa hawezi kumuacha mkewe? kwanza mianamike iliyoolewa ndio yenye mibichwa migumu. believe atamuacha na atamuoa dogodogo na from there maisha yanakuwa tambarare!!!!!!!!!!!!!
kila siku nazidi kuamini ule msemo wa wanawake wa mjini wanaosema mume wa mtu mtamu.Sijui na mke wa mtu inakuwaje?
Hivi sisi baadhi ya kina dada wanamatatizo gani? Wewe unafahamu vizuri kuwa jamaa ni mume wa mtu na bado unawatangazia watu kwamba atamuacha akuowe wewe. Unauhakika gani kwamba atamuacha mke wake wa zaidi ya miaka 15 na watoto 3 akuowe wewe?
Kuna dada kanikuna kweli aliponiletea kadi ya mchango eti anaolewa wakati jamaa bado anaishi na mkewe. Tatizo dem hajui wife ndiye mwenye mali, there is no way that guy is going to divorce his wife.
Naomba ushauri wa jinsi ya kumshawishi aachane na huyu jamaa kwani he's making her a laughing stock na watu wanamsema lakini hakuna anayetaka kumwambia ukweli.
Hapana sifanyi kama Tiger Woods. Yeye kaoa na mimi sijaoa na sitaki kuoa. Kwa hiyo hata nikimega mademu 100 simkosei mtu yeyote
weeeeeeeeeeeeeeeeee...................... eti nini??????????????????
sema tu hjamfuma mwenye njuluku za kutosha.!!!!!!! unakutanaga tu na wachovu. kuna mwanamke anajali whether a man is married or not???????????? sie watu wazima bwana usitu...........
Kati ya principles nilizojiwekea maishani ni kuavoid married men. Naheshimu ndoa kama institution takatifu kwa hiyo mume wa mtu siwezi kuwa na mahusiano naye. Period.
can u prove this?Kati ya principles nilizojiwekea maishani ni kuavoid married men. Naheshimu ndoa kama institution takatifu kwa hiyo mume wa mtu siwezi kuwa na mahusiano naye. Period.
shemeji huo si ni uzinzi? hujaoa na unashiriki ngono.......
afu shemeji (am just curious) unanunua au inakuwaje hapo??