theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,641
Tangazo lipo simple kinouma hakuna kukimbizana na ma vyeti na CvNdo raha ya engineering watu tunapeanaga kazi kisela tu......
Kuna siku dingi mmoja mshikaji wangu ni mkurugenzi katika kampuni moja hivi alinipa kazi nimtafutie vijana 10 walosoma electrical na mechanical Engineering, nilifanya tu kutuma meseji kwenye magrupu ya whatsapp, chap chap vijana wakala shavu.........Tangazo lipo simple kinouma hakuna kukimbizana na ma vyeti na Cv