Mwananchi Mwandamizi
Member
- Sep 27, 2015
- 57
- 52
Habari wadau.
Tuna hitajio la Mwalimu wa Madereva (Drivers Instructor) katika taasisi yetu ya (Women on Wheels-Africa)
SIFA ZA MUOMBAJI
-Awe na uthibitisho wa ualimu wake (Driving Instructor's Certificate Of Registration) uliotolewa na NIT
-Awe na nidhamu ya kazi na record nzuri katika utendaji wake wa kazi.
-Awe mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
-Mwisho wa Kutuma Maombi ni Siku ya Ijumaa tarehe 06.04.2018 Saa 9 mchana.
Namna ya Kuomba;
Tuma CV yako kupitia fxbiz@yahoo.com. au wasiliana nasi kupitia namba 0629 234 099 tukuelekeze namna ya kufika ofisini kwetu.
KARIBU SANA
Tuna hitajio la Mwalimu wa Madereva (Drivers Instructor) katika taasisi yetu ya (Women on Wheels-Africa)
SIFA ZA MUOMBAJI
-Awe na uthibitisho wa ualimu wake (Driving Instructor's Certificate Of Registration) uliotolewa na NIT
-Awe na nidhamu ya kazi na record nzuri katika utendaji wake wa kazi.
-Awe mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
-Mwisho wa Kutuma Maombi ni Siku ya Ijumaa tarehe 06.04.2018 Saa 9 mchana.
Namna ya Kuomba;
Tuma CV yako kupitia fxbiz@yahoo.com. au wasiliana nasi kupitia namba 0629 234 099 tukuelekeze namna ya kufika ofisini kwetu.
KARIBU SANA