Yaan leo nimecheka sana, neno meneja, watu walivyochangia, kiukweli ktk hali ya kawaida kwa maisha ya sasa tsh. Laki 1 ni ndogo mno, kodi ya chumba,maji, umeme,king'amuz, chakula na vingine vya muhimu unahitaji walau laki 1 na 80 nadhan hicho ndo kiwango cha chin kwa mjin