Anahitajika binti wa kuuza Duka sinza

Anahitajika binti wa kuuza Duka sinza

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,635
Habarini wakuu, Anahitajika msichana wa kuuza duka Sinza.

Sifa:
Mwaminifu, mwenye uzoefu wa kuhudumia wateja na kwa haraka, awe anakaa maeneo ya karibu na sinza ( kupanda at least gari moja) na Awe msichana Mzuri.

PM kwa walio interested.
 
Habarini wakuu,Anahitajika msichana wa kuuza duka Sinza.Sifa.Mwaminifu, mwenye uzoefu wa kuhudumia wateja na kwa haraka, awe anakaa maeneo ya karibu na sinza ( kupanda at least gari moja) na Awe msichana Mzuri.PM kwa walio interested.

awe mzuri??? Another hashim lundenga
 
Habarini wakuu,Anahitajika msichana wa kuuza duka Sinza.Sifa.Mwaminifu, mwenye uzoefu wa kuhudumia wateja na kwa haraka, awe anakaa maeneo ya karibu na sinza ( kupanda at least gari moja) na Awe msichana Mzuri.PM kwa walio interested.

Unataka mfanyakazi ama unataka mchumba?
 
Wasichana mna kazi ila sie vidume twendele kunywa chai kwa ..guru
 
Yuko rafiki yangu,she is enterested

waschana wa cku hzi hamna akili HOPELESS kabisa kazi gani kigezo unambiwa UWE MZURI kwanza na bado unajipeleka tu una tofauti gani na wale wa UWANJA WA FISI, SINZA, mtaishia sana kulalamika kua hamuolewi
 
Back
Top Bottom