Anahitaji ushauri wa kimasomo/fursa

Anahitaji ushauri wa kimasomo/fursa

Abubakar Abdallah

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2017
Posts
281
Reaction score
170
Kama mtu ana four ya 29 ya form four kuna fursa gani anaweza kuzifata.. Za kimasomo, pia ata kwa mtu binafsi....
 
veta itamfaa zaidi, kuna mechanics, computer, udereva, ufundi chuma nk.

fursa nyingine ni kuangalia uwezekano wa kurudia mtihani.

Ya tatu ni baadaye
 
kama upo dar nenda jengo la benjamin mkapa panda juu kuna universty abroad watakupa ushauri mzuri
 
Je ni chuo gani cha veta kizuri na cizi ipi iko narketable au yafaa kuchukua
 
Back
Top Bottom