Anafaa kuwa Rais?

Anafaa kuwa Rais?

ras mkweli

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
280
Reaction score
105
Anafaa kuwa Rais?
10391457_1170506662963750_8368753959346331415_n.jpg
 
Kuna marais wengi siku hizi
Labda awe Rais wa wafungwa jela
 
Anafaa lakini raisi wetu mtarajiwa Dr.Slaa
 
CDM wengi wanafaa kuwa marais ila wamemuachia dr wa ukweli SLAA
 
Hata Ismail A.Rage alikuwa Rais..Diamond .. Marehem Abbas Tarimba...kuna rais wa boxing federation.. Moira na nyanja mbalimbali kuna marais
 
Back
Top Bottom