anaeuza kiwanja dodoma mjini

RFP

Senior Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
171
Reaction score
194
Wakuu anaeuza kiwanja Dodoma ambacho hakina migogoro tufanye biashara, maana naona kuna hatihati ya kulihama jiji
 
Kweli mkuu maana du
 
Serikali inahamia dodoma ndani ya miaka minne ijayo so huko ndo kwenye issue kwa sasa.
 
Dar itabaki kama Jo'burg mji mashuhuri na wa kibiashara,noti na mipango paleoale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…