Anadai anataka kuwa na mimi

Hizo ni ashk majinun

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hautabaki salama, Kama utafanikiwa kuvunja uhusiano wa wenzio na wewe uhusiano wako utavunjwa siku moja, kama leo kakutana na wewe anafikiria kuvunja uhusiano wake, atashindwa nin kuvunja uhusiano na wewe akikutana na mtu mwingine! ?
 
ATAKUTANA NA MWINGNE ATAAMBIWA KAMA ULIVYOAMBIWA WEWE

UJUE SI KILA DEMU UNAYEMTONGOZA LAZMA AWE MKEO, WENGNE NI WA KUOMBWA PAPUCH TU.

KAMA HUYO ULITAKIWA UMWOMBE MZGO TU BASI. MAPENZ MWACHIE YEYE NA BOY WAKE
 
Tafuta mwingine,ushajua ana mtu wake kwanza hukutakiwa kumwambia hisia zako,ulichofanya ni kumpa wakati mgumu wa kuamua,haipendezi kuwa sbb ya kuvunja uhusiano wa Mwanaume mwenzio,tena pengine jamaa kawekeza sana kwa huyo mtoto wa kike.

Philips X2560
 
Sawa bos.zmefka ila I ned 2 b sure asee maana hawa wanawake hatar.Dakka 0 wamekugeuka!!
Mkuu usitegemee jipya kutoka kwake. Usiangalie nani alitangulia au nani yupo naye kwa sasa au nani atafuata baada yako. We enjoy muda ambao upo nae siku yoyote kitanuka.

Uki expect kitu kutoka kwake utaumia tu. Hujamkuta bikira huyo

Mpumalanga
 
ATAKUTANA NA MWINGNE ATAAMBIWA KAMA ULIVYOAMBIWA WEWE

UJUE SI KILA DEMU UNAYEMTONGOZA LAZMA AWE MKEO, WENGNE NI WA KUOMBWA PAPUCH TU.

KAMA HUYO ULITAKIWA UMWOMBE MZGO TU BASI. MAPENZ MWACHIE YEYE NA BOY WAKE
Hii ni kweli mkuu. Yeye anataka kuweka kambi

Mpumalanga
 
Anasoma chuo??
 
Subiri mpaka aachane na boyfriend wake (ila kumbuka ameshatumika)

Huwezi kuita hayo ni Mapenzi ya kweli wakati wewe bado upo upo hujawa wake rasmi kwa hiyo vuta subira ujiridhishe kama ana upendo wa kweli ama la...ni mapema mno kusema hapo kuna mapenzi ya kweli
 
Tuna haraka sana ya kuingia kwenye mahusiano. Wiki mbili umeshamtongoza. Haya akaachana na boyfriend wake. Akawa na wewe. Ndo mnaanza kusomana tabia mkiwa kwenye mahusiano tayari? Ili mkishindwana mchukiane baadaye?

Ukiona unafanya haraka kutaka kuingia kwenye mahusiano n mtu kabla hujamfahamu jua ni tamaa na upweke tu unakusumbua.

Mwambie, samahani kwa maneno niliyoyasema juzi. Kwa kuwa siwezi kuyafuta, basi naomba kusema hivi, nimevutiwa na wewe. Nilichomaanisha hasa, ni kutaka kukufahamu kama rafiki. Baada ya urafiki wetu kukua, nitakutamkia rasmi upendo wangu kwako maana hapo nitakuwa nina uhakika na compatibility yetu kuwa pamoja. La, tukiona hatuna ufanano huo, tutabaki marafiki.

Ninachohofia sana hapa ni mtu kuachana na mtu wake kwa kuwa kakutana na mtu mwingine. Aidha, hakuwa anampenda huyo mtu wake na alijua hawana future yoyote ila kwa kuhofia kubaki mpweke au kwa manufaa yake mwenyewe ayajuayo, akaendelea kubako kwenye huo uhusiano. Wakati mwingine, ni kweli unakuwa umekutana na aliye sahihi, ila kama ndani ya wiki mbili umemtamkia mapenzi/mahusiano, inaharibu il purity ya lengo.

Il kwa hili ningekushauri uache ujipange upya kwa mwingine. Au acha kuonana na kuwasiliana naye kwa muda. Kisha ujipange kuanza upya. Kaa hatamwezi, baada ya mwezi mtafute uone alipo na uhusiano wake. Kama bado wapo pamoja utakuwa umepata jibu. Yani my point is, mpe muda wa kufanya maamuzi bila kuwa na ushawishi (influence) wako. Usimwambie unakata mawasiliano kwa sababu gani...just stop communicating. Baada ya mwezi mtafute.

I guarantee you..hatakuwa ameachana na huyo mwenzake.


Onyo langu tu, epuka ngono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…