miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
Huyo mwanaume anajua ubaya wa kucheat ndo mana anamsaidia mkewe kutocheat. Safi sana
aaah wapi kama kubaya mbona anaenda?
Huyo mwanaume anajua ubaya wa kucheat ndo mana anamsaidia mkewe kutocheat. Safi sana
Point..... Ndoa za sasa hadi vibwengo vina ushauritatizo ni wewe unayeingilia ndoa za watu.we ndani mwa mtu kunakuhusu nini?jichunguze kwanza.umeolewa?kama ndio unayashughulikia vipi matatizo ya ndoa yako?
Rafiki gani wa kiume huyo anamliwaza mke wa mtu?
Atakuwa Mchaga wa RONGAI huyu cc miss chagga
mimi ndo naandika coment za vichekesho jamani?
Atakuwa Mchaga wa RONGAI huyu cc miss chagga
Afu kila nikiona jina lako napataga picha ya yule mtangazaji wa EATV kwenye mambo ya ujenzi ujenzi sijui kwa nini lakini. Sorry I had to admit anyway!!!
hahaaaaaaaaa wachaga wa Rongai wakoje
hahaaaaaaaaa wachaga wa Rongai wakoje
hapana mimi siyo mtangazaji na mimi nikifupi yani ni balaaaaa sema najikubali miminipo tifauti na wengine
Muulize mwenyewe. unafikiri mi sijipendi... hahahaaaa cc miss chagga
Aisee mangi apa sijakuelewa hakyiyanani!!!!!!
ma dear kaoa rongai ndo maana
Bado nainjoi ''honeymoon'' za usingle aisee!!
alafu katika watu nawogopaga ni wewe humu jf nikijua umeshaoa aisee duh....
Hahahaaa.. kwa nini unaniogopa aisee....
Nadhani ujui vizuri maana ya ufupi.. unamfikia huyu
View attachment 141722