Anaandika Absalom Kibanda

Mheshimiwa punguza jazba sisi ni binadamu kubadilika kupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma bandiko lako ila kwenye kulidodosa nimeona sehemu umemfananisha Pombe na Mandela na hapo ndipo nilipofikia uamuzi wa kukuita mpuuzi
 
Sijasoma bandiko lako ila kwenye kulidodosa nimeona sehemu umemfananisha Pombe na Mandela na hapo ndipo nilipofikia uamuzi wa kukuita mpuuzi
Mambo ya kuuma na kupulizia, hawakawii kufunga kagazeti kake, lazima ajilendekeze kidogo, Mandela ni number nyingine kabisa
 
Kimsingi unaonekana kupwaya taratibu huko ugenini. Rudi Nyumbani kumenoga.
 
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba! - JamiiForums
P.
 
Mshauri wake ni Dikteta kule Rwanda ,

Yeye pia amekuwa na sifa hizo za Kidikteta.

Mwisho wa Madikteta uwa mbaya sana.
 
Nimeipenda sana sana hii kwani ndio uhalisia wa nchi leo hii.
 

2015-2018 Miaka mitatu tayari imeenda Mentor hakuona haja ya kumnong'oneza Mheshiwa kuhusiana na hali ya Mambo?.
Yapo yamefanikiwa na yapo mengine yana hali mbaya na hasi uhuru wa mawazo na kisiasa.
Ahadi ya Chama eneo la utu wa Binadamu imewekwa pembeni sana!
 
JPM ni chaguo la Mungu.
Namuombea afya njema na maisha marefu.
Yanayofanyika sasa Tanzania yanashangaza dunia Nchi inasonga kwa speed nzuri mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…