Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,687
- 11,699
Unatumia linked in?Hii mbinu ina tatizo la Kupata appointment watakwambia tuta kujibu.. kwa sasa hatu itaji , ooh tuna mtu tayari,nilisha jaribu sana, blocking inakuwa reception maana wana mpigia kifua mtu wao hivyo hawataki umfikie MD au DG..
balaa lingine kupata cotact ..nyngi online hazifanyi kazi
Ina mana outreach yako plan ni ya aina gani? Mana hata ukiacha barua reception ni ngum kufanyiwa kaz