Hapa kazi tu!
1. Usikaribishe Mafisadi kama CHADEMA
2. Usiwe mwizi kama LOWASA
3. Usiwe mwongo kama MNYIKA.
4. Usiwe kigeugeu kama MBOWE.
5. Usikose msimamo kama MAHANGA.
6. Msiwe na Uchu wa madaraka kama UKAWA.
7. Usiwe na kiburi kama MBATIA
8. Usipende kuropoka kama TUNDU LISSU
9. (Amri kuu) USIIPIGIE KURA UKAWA 2015 na chaguo la watanzania ni MAGUFURI TU
10. LOWASSA NA MBOWE ni vigeugeu na hawana sera ya kuikomboa Tanzania.
Huu ujumbe ukiupata wasambazie watu wasiopungua ishirini.
Unaweweseka baada ya kusoma ukweli.Punguza ujinga Mkuu!!
MALOFA mnasoma kila sekunde, ndio hiyoKwa bahati mbaya sina watu wajinga wakusambazia
Yaap, I keep my 10 commandmentsLowassaaaaa,,,,,,,,,Mr chin povu lisikutoke kuna maisha baada ya October 25
Hao jamaa sijui wataamkaje tarehe 25 kuelekea 26 October pale ambapo Magufuli anatangwazwa mshindi.Nitarudi baadaye kuangalia matusi zaidi ya BAVICHA!
Hapa kazi tu!
1. Usikaribishe Mafisadi kama CHADEMA
2. Usiwe mwizi kama LOWASA
3. Usiwe mwongo kama MNYIKA.
4. Usiwe kigeugeu kama MBOWE.
5. Usikose msimamo kama MAHANGA.
6. Msiwe na Uchu wa madaraka kama UKAWA.
7. Usiwe na kiburi kama MBATIA
8. Usipende kuropoka kama TUNDU LISSU
9. (Amri kuu) USIIPIGIE KURA UKAWA 2015 na chaguo la watanzania ni MAGUFURI TU
10. LOWASSA NA MBOWE ni vigeugeu na hawana sera ya kuikomboa Tanzania.
Huu ujumbe ukiupata wasambazie watu wasiopungua ishirini.