- Thread starter
- #161
Unapotoa papuchi wakati hauko tayari kwa tendo hilo huko ni kubakwaMila potofu ni zipi? Kubakwa ni kupi? Mama mtu mzima unabakwaje na mumeo? Tunakoelekea ndoa zitapoteza maana.
Unapotoa papuchi wakati hauko tayari kwa tendo hilo huko ni kubakwaMila potofu ni zipi? Kubakwa ni kupi? Mama mtu mzima unabakwaje na mumeo? Tunakoelekea ndoa zitapoteza maana.
Huyo aliye kuoa inaonekana ni mwanaume wa Dar....mwanaume wa mikoani hawezi kuvumilia ujinga wa namna hiyo.Kwani nani alisema ukiolewa uwe mnyonge ??? Kwahiyo ndiyo kila siku awe aninaniliu ? Aaah !! Hapana
mfano nimekuambia nimechoka, au sijisikii am niko mp utanifanya nn ? Waoneeni hao hao waliobadili ndoa kuwa hifadhi y'a maisha yao. Not me. Never in my lifeMi ukinikatalia siku hiyo hiyo unarudi kwenu....yaani nimetoa mahali halafu uanze kunipangia .......Aiseee!
I wish i culd be.....
Lengo siyo kuwafanya wanawake waachike, bali watambue haki zao. Siyo kila siku waafanyishwa ngono bila ya ridhaa yaoKwa ushauri wako inaonekana umekosa Mme kwa hiyo unawadanganya wenzio ili waharibu kazi uolewe wewe.
Natoa rai kwa wanawake (sio wasichana) kuupuzia ushauri wa huyu msichana maana hauna malengo mazuri na ndoa zenu
Angalia hoja na uelewa wangu, usiangalie umri. Umri si kitu.Nina mashaka na mtoa posti...afu we bado msichana
Kama bado kuna wajinga wa namna hiyo, wape pole. Wanaume wanavyo nishobokea namna hii naanzaje kwenda kwa mganga ? Ni suala la mm kuamua huyu nimkamate au nimpotezee ? Nikiamua kumkamata mwanaume yeyote chini ya jua hili namkamata. Tena manaume ya kiafrika ndiyo kabisaaaa. Hakuna cha maana mnachowaza zaidi ya ngono kwenye vichwa vyenu.Ndio maana kutwa mnahangaika kupeleka majogoo wekundu kwa waganga kutafuta wanaume. Kumbe mchawi ni wewe mwenyewe na akili yako ya kijiko cha pilipili.
Hongera sana mwanamke wa Kiafrika!Kama bado kuna wajinga wa namna hiyo, wape pole. Wanaume wanavyo nishobokea namna hii naanzaje kwenda kwa mganga ? Ni suala la mm kuamua huyu nimkamate au nimpotezee ? Nikiamua kumkamata mwanaume yeyote chini ya jua hili namkamata. Tena manaume ya kiafrika ndiyo kabisaaaa. Hakuna cha maana mnachowaza zaidi ya ngono kwenye vichwa vyenu.
Asante sana rais DuterteHongera sana mwanamke wa Kiafrika!
Hofu ya nn ? Mm Nimesema mwanamke atoe mzigo anapojisikia. Kwa hiari na tahadhari kubwa. Mbona povu ? Kwani k za wake zenu ni zenu ?Kugegeda kunamchakaza mwanamke.ungesema kuzalishwa ningekubali .Huu ushauri uliowapa wenzako ni mbaya sana muupuze utaharibu ndoa zenu
ndiyokida miss chagga?
amna kuchakaaUtachakaa sana