Amana hospital angalieni wahudumu wenu

isky

JF-Expert Member
Mar 31, 2014
884
737
Habari wanajamvi,

Leo tar 16/07/16 nimefika Amana Hospital, taratibu nyingi nimeona haziko sawa moja imenikera zaidi "nilifika maabara kwa ajili ya vipimo na ilinisikitisha sana kukuta wahudumu mabinti wawili wakiangalia video youtube kupitia desktop computer inayopaswa kupata report kutoka kwa daktari, mbaya zaidi mpaka mgonjwa unawafikia hata hawajali mpaka uwastue ndio wapause video kisha wakusikilize.

Amana badilikeni.
 
Back
Top Bottom