Aman Walid Kaburu yu wapi naomba mnijuze!!

costa manji

Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
11
Reaction score
2
Alitingisha sana enzi zake,alikubalika sana kipindi hicho lakini baada ya kuhama CHADEMA,sikumsikia tena!!
 
Alitingisha sana enzi zake,alikubalika sana kipindi hicho lakini baada ya kuhama CHADEMA,sikumsikia tena!!

Kama mpira wa kiume nilio utumia juzi sikumbuki kwasasa utakuwa wapi.
 
Alitingisha sana enzi zake,alikubalika sana kipindi hicho lakini baada ya kuhama CHADEMA,sikumsikia tena!!

Anavua samaki kigamboni.
Ukifka pale ferry ukaita Kaburuuu, utamsikia akiitikia!!
 
yupo nyumbani kwake, mbona mnakosa cha kufuatilia bana, maisha binafsi ya mtu yaacheni yalivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…