Alpha Blondy aachia albam yake mpya

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,397
Reaction score
17,784
Inakwenda kwa jina la Human race. Ina nyimbo kumi na moja. Mkongwe huyo wa muzic wa raggae barani Afrika amewashirikisha baadhi wa wanamuziki nguli wa afrika. Fally Ipupa, Angelina Kidjoh na Yousou Ndour. Albam hiyo mpya inazinduliwa leo tarehe 31/08/2018. Kwa wapenzi wa Muzic wa reggae kaeni kmkao wa kula.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
My favorite reggae legend

Jr[emoji769]
 
Album ya mwisho alitoa mwaka gani?? Mie nilijua alishatutoka kitambo sana
 
Nimekua nikimsikiliza Alpha blondy kwa miaka mingi sana,Baada ya Bob marley basi Alpha blondy anafuatia kwa upande wangu.
 

Attachments

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…