Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,504 Reaction score 203,226 Jul 22, 2021 #41 nusuhela said: Nisije nikaanguka mapepo maana mara yangu ya mwisho kwenda kanisani ilikua mwaka 2006 Click to expand... Jesus Christ π€¦πΎββ ndio maana Mungu amekusahau π hebu mrudie bwana.
nusuhela said: Nisije nikaanguka mapepo maana mara yangu ya mwisho kwenda kanisani ilikua mwaka 2006 Click to expand... Jesus Christ π€¦πΎββ ndio maana Mungu amekusahau π hebu mrudie bwana.
nusuhela JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 6,262 Reaction score 7,753 Jul 22, 2021 Thread starter #42 Depal said: Jesus Christ ndio maana Mungu amekusahau hebu mrudie bwana. Click to expand... Niombeee huenda ni nguvu za yule mwovu zimeniingia
Depal said: Jesus Christ ndio maana Mungu amekusahau hebu mrudie bwana. Click to expand... Niombeee huenda ni nguvu za yule mwovu zimeniingia
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,504 Reaction score 203,226 Jul 22, 2021 #43 nusuhela said: sasa unanitenga tena wakati tulianza vizuri? Hata yesu mwenyewe hakuja kwaajili ya wenye haki. Alikuja kuwaokoa waliopotea. Huenda ukawa ni njia ya kunifanya nikamrudia bwana Click to expand... Haha sidhani kama kuna watu wanajua kubishana kama raia wasio amini uwepo wa Mungu. Sasa kama wajua Yesu alikuja kwa ajili ya wakosefu kwanini usimsadiki? Nitakuombea Roho mtakatifu akutembelee.
nusuhela said: sasa unanitenga tena wakati tulianza vizuri? Hata yesu mwenyewe hakuja kwaajili ya wenye haki. Alikuja kuwaokoa waliopotea. Huenda ukawa ni njia ya kunifanya nikamrudia bwana Click to expand... Haha sidhani kama kuna watu wanajua kubishana kama raia wasio amini uwepo wa Mungu. Sasa kama wajua Yesu alikuja kwa ajili ya wakosefu kwanini usimsadiki? Nitakuombea Roho mtakatifu akutembelee.
nusuhela JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 6,262 Reaction score 7,753 Jul 22, 2021 Thread starter #44 Depal said: Haha sidhani kama kuna watu wanajua kubishana kama raia wasio amini uwepo wa Mungu. Sasa kama wajua Yesu alikuja kwa ajili ya wakosefu kwanini usimsadiki? Nitakuombea Roho mtakatifu akutembelee. Click to expand... Tatizo ni kuwa huenda ni neno lipo ndani yangu na inabidi litimilike? Au hujui kuwa kila kinachotokea ni mipango ya Mungu?
Depal said: Haha sidhani kama kuna watu wanajua kubishana kama raia wasio amini uwepo wa Mungu. Sasa kama wajua Yesu alikuja kwa ajili ya wakosefu kwanini usimsadiki? Nitakuombea Roho mtakatifu akutembelee. Click to expand... Tatizo ni kuwa huenda ni neno lipo ndani yangu na inabidi litimilike? Au hujui kuwa kila kinachotokea ni mipango ya Mungu?
SMART GHOST JF-Expert Member Joined Feb 3, 2020 Posts 2,657 Reaction score 10,411 Jul 22, 2021 #45 Depal said: Nimezingua nini? Mtu hana hata wa kum'wish goodnight jamani. Me nimejitolea tena naonekana mzinguaji?!! Click to expand... Usiishie hapo, endelea kujitolea na mengineyo!
Depal said: Nimezingua nini? Mtu hana hata wa kum'wish goodnight jamani. Me nimejitolea tena naonekana mzinguaji?!! Click to expand... Usiishie hapo, endelea kujitolea na mengineyo!