All international flights in Tanzania to pass through JKIA Nairobi

Mashashola

JF-Expert Member
Feb 23, 2020
4,091
5,279
Nairobi is the undisputed hub of East and Central Africa region in everything and KLM shows us why.​

JamiiForums1515179768.jpg
 
flying via Nairobi si maana yake watapandia TZ ila watapitia Nairobi kabla ya kwenda nchi zingine? kwani kuna shida gani? si ni sawa tu na bus linapopitia stand fulani ili kujaza abiria? hapo shida ipo wapi?
Kizungu kimeleta taabu, anawadanganya babu yenu mjikite kwenye kiswahili, ona sasa. Hizi ni international flights za KLM not any other international airlines operating in Tanzania.
 
flying via Nairobi si maana yake watapandia TZ ila watapitia Nairobi kabla ya kwenda nchi zingine? kwani kuna shida gani? si ni sawa tu na bus linapopitia stand fulani ili kujaza abiria? hapo shida ipo wapi?
Nilichoelewa mimi nikwamba wakifika Nairobi wanafanyiwa vipimo kisha ndiyo waendelee au wabaki kulingana na majibu ya vipimo vyao.
 
Kizungu kimeleta taabu, anawadanganya babu yenu mjikite kwenye kiswahili, ona sasa. Hizi ni international flights za KLM not any other international airlines operating in Tanzania.
Amsterdam-Dar es Salaam then Dar es Salaam- Nairobi- Amsterdam,
You sound folly, nini huelewi we kilaza, wazungu wakitoka Zanzibar wanapitia Nairobi then wanaenda uholanzi.

Tena I thought you'll see how Tz got multiple operating international airports, yaani Zamzibar, Kilimanjaro, Dar, and soon Mwanza and Dodoma.
 
another nincompoop, he does not know what I was trying to explain
Amsterdam-Dar es Salaam then Dar es Salaam- Nairobi- Amsterdam,
You sound folly, nini huelewi we kilaza, wazungu wakitoka Zanzibar wanapitia Nairobi then wanaenda uholanzi.

Tena I thought you'll see how Tz got multiple operating international airports, yaani Zamzibar, Kilimanjaro, Dar, and soon Mwanza and Dodoma.
 
Kitu ambacho wabongo wengi hawajanotice ni kwamba Flights za kutoka Amsterdam kuja Bongo zinakuja moja kwa moja

Ila za kutoka Bongo kwenda Amsterdam ni lazima waweke kituo Nairobi

Hapo ndo pa kujiuliza ni kituo cha nini? Na kwanini

*Nadhani ukienda kununua tiketi utakutana na vigezo na masharti zaidi kuwa tunakupakia hapa tunaenda Nairobi tutafanya hiki na hiki usipo"qualify " unabaki/unarudishwa
 
Kitu ambacho wabongo wengi hawajanotice ni kwamba Flights za kutoka Amsterdam kuja Bongo zinakuja moja kwa moja

Ila za kutoka Bongo kwenda Amsterdam ni lazima waweke kituo Nairobi

Hapo ndo pa kujiuliza ni kituo cha nini? Na kwanini

*Nadhani ukienda kununua tiketi utakutana na vigezo na masharti zaidi kuwa tunakupakia hapa tunaenda Nairobi tutafanya hiki na hiki usipo"qualify " unabaki/unarudishwa

Mlitaka muwaibukie na vyeti vyenu vya kuandikiana huko eti ukilipa $100 unazugwa kupimwa corona kisha unapewa cheti ukawaibukie wazungu kwao. Lazima mpitie hapa mpanue midomo tutumbukize vifaa vya kukagua kama kweli mko wasafi.

Hehehe! Nimefanya kuchomekea tu ila sijui mbona imelazimishwa mpitie kwetu hapa.
 
Mlitaka muwaibukie na vyeti vyenu vya kuandikiana huko eti ukilipa $100 unazugwa kupimwa corona kisha unapewa cheti ukawaibukie wazungu kwao. Lazima mpitie hapa mpanue midomo tutumbukize vifaa vya kukagua kama kweli mko wasafi.
Hehehe!! Nimefanya kuchomekea tu ila sijui mbona imelazimishwa mpitie kwetu hapa.
 
Kunyaland huwa wana mihemko yani wanaongea tu kama wanaharisha. I for one sioni hata maana ya thread hii yani klm kupitia JKIA ndo wanashoboka hivi dah poor Kenyans how ignorant of you
flying via Nairobi si maana yake watapandia TZ ila watapitia Nairobi kabla ya kwenda nchi zingine? kwani kuna shida gani? si ni sawa tu na bus linapopitia stand fulani ili kujaza abiria? hapo shida ipo wapi?
 
Huna akili kabisa! KLM ni Non stop flight,maana yako ikienda Nairobi wanakupima,kama una Corona huendi!
Nafikiri wewe ndio huna akili. hiyo KLM unaweza kujua kuiandika hapa, na hujawahi hata kuipanda. kwahiyo anayesafiri kwenda Uholanzi leo akapandia ndege DSM, akifika NAIROBI watashusha ndege yote watu wakapimwe kwanza?

Wakati wameshusha watu wakapimwe hii ndege watakuwa wanaiosha au kuipiga dawa au kuipiga vaccination as if ina damu? mtu akionekana na corona kule nje hatarudishwa halafu siti aliyokuwa amekaa si atakaa mtu mwingine? Ulishawahi kuona wapi abiria anayesafiri moja kwa moja anafikishwa kwenye airport mojawapo ya kupita tu ili apimwe ugonjwa fulani kwanza?

Ungelikuwa na akili kama ungeongea kwamba, wanapitia Nairobi kusanya abiria kwasababu kutokana na corona abiria waliokuwa wanakuja tz wamepungua sasa hawataki kwenda na ndege tupu. Ulivyo mjinga hata hilo hulijui.
 
Kizungu kimeleta taabu, anawadanganya babu yenu mjikite kwenye kiswahili, ona sasa. Hizi ni international flights za KLM not any other international airlines operating in Tanzania.
naona wewe ndio huelewi, kwani kuna mtu amepinga hilo? KLM itakuwepo hapa kama sio international flight? kwani inaoperate locally hapa? unaongea nini wewe?
 
Mnapata wapi muda wa kuwajibu hawa wapuuzi? Wakenua meno ninaowajua wako bize sasa hv wakipoga kazi. Hawa wanaokuja huku kujisifia hata nauli ya matatu hawana inabishana nao nini? Vile wanapata unafuu wa MB tu wangrkuwa wanalipia kama huku bongo wala tusingewaona huku
wajinga kabisa hawa,wanashangilia KLM kupita kwao, wakati sisi hapa ilikuwa na destination tatu, kilimanjaro airpot, DSM na zanzibar, ambako bado itaendelea kuwepo. KLM inabeba zaidi watalii na kutokana na corona watalii wengi hawaji, dege kubwa sana lile haliwezi kwenda majuu tupu, lazima lisanye njiani.
 
Back
Top Bottom