7.inasemekana jamaa alitibiwa bila PF3, je hiyo imekaaje?
8.kama huyo scorpion wanasema jamaa ni mtoa macho mzoeefu mbna mpaka sasa hakuna wengne waliojitokeza kuwa walifanyiwa hivo
Sipati picha aibu watakaoipata walomtetea jamaa usiku na mchana siku watakapoambiwa jamaa ndo mkosaji,na mheshimiwa wetu wa faster faster sijui atatoka na gia gani katika hiyo aibu!!!,tusiwe wepesi kuhukumu jaman
Sasa jamaa katolewa macho lini mpaka waje wamkamate two weeksWe Scorpion alisharipotiwa na kukamatwa 2 weeks kabla ya media kuireport hii issue
Hivi makonda atajisikiaje endapo itakuwa katoa msaada kwa jambazi kuu??Inaitwa KURUDISHA MPIRA KWA KIPA.
Wezi wakichomwa moto kwa kuvishwa tire au kukatwa mikono au miguu mbona huwa mnaona kawaida..... Sasa huyo mwizi kutolewaNi kosa gani ambalo adhabu yake ni kutolewa macho? Hata kama ni street justice..... hii imezidi.
Scorpion hana Janja ya kuukwepa mkono wa nyapara
Kwa sisi tunaoishi Dar es salaam uswahilini suala la vijana wahuni kutoleana visu ni jambo la kawaida sana, lakini hili la kutoboana macho ni jambo La kushangaza mnoo na la kutisha pia!Mtu anakutolea kisu ili akuchome unawezaje kumfikisha mahala husika kwa muda huohuo? Au unamaanisha angemruhusu bila kufanya chochote achomwe ndipo apeleke mahala husika?
Waliolibeba wamelibeba kwa huruma zao za mioyo yao! Mamlaka husika ni Mahakama tu na ndio watakaolibeba kindaki ndaki watupe ufumbuzi wa maswali yako juu ya janga hili kwa kijana mwenzetuUkiwa kwenye hiyo nafasi...utakumbuka ulivokuwa unacharanga watu mapanga kama unakata nyama mpaka kuwasababishia vilema vya maisha au hata kifo na wakati huohuo unawaona watoto wake wakihangaika kwa kukosa malezi...sio sawa kutobolewa macho lakini kabla ya kujua chanzo cha tatizo si vema kwa wenye mamlaka kulibeba kindakindaki..
Wewe kama si mshirika wa scorpion basi ni ndugu yake! Hasira za hivi mkazifanyie kwenye miili ya mama zenu msituletee upuuzi wa kufananisha yesu na utumbo wako huu,Na usubiri muda ufike jibu litapatikana ya nini kujipotezea muda kutaka kutushawishi kuwa Said alistahili alichofanyiwa!!!?Kwanza sijahalalisha adhabu mkuu ila nimeongelea mazingira halisi na hasira za kibinadamu
Kama yesu mwenyewe ana hasira na mfano ni pale alipokuta watu wanafanya biashara katika nyumba ya ibaada unasoma alichokifanya?
Nielewe sasa hasira na inabid tujue story ndo tu judge kwa uzito wake
Na kazia hapome nangoja Tu
Tayari hivyo vi misaada alivyopewa mmeanza kuona wivu wanaume wa daslam buwanaMaswali yangu kwenu mliomhukumu huyu mtuhumiwa kabla hata ya hukumu halali ya mahakama. Kwanza niseme kuwa watanzania tuache kufanya mambo kwa mihemuko na kutoa hukum haraka,mimi binafsi sitaamini kama huyu jamaa kaonewa mpaka nijibiwe maswali haya
1. Baada ya kutolewa macho kwanini hakwenda kushitaki kama yeye alikuwa na haki mpaka media zimemfata ndio kasema
2. Haiingii akili kusema eti watu wote waliokuwapo wakati anatolewa macho hawakuwa na uwezo wa kumsaidia kwa kumkabili scorpion, Je kwanini hawakumsaidia wala kwenda ku report polisi?
3. Je, watu wanaomzunguka huyo Said mbona hawajitokezi kumwongelea kwa mema yoyote na wala kumsitikia,je ni kwakuwa na wao walishamchoka?
4. Jina la scorpion ni kama majina mengne ya kibabe kama warrior nk ambayo vijana hupenda kuyatumia,sasa yeye ana uhakika gani kuwa mtuhumiwa ndio scorpion alomtoa macho na kama alikuwa anamfahamu kwanini hata nduguze hawakwenda kushitaki?
5. Kuna shutuma kuwa yeye mtendwa alifuatwa kwa amani akawa anaulizwa juu ya wizi uliotokea ila ghafla aka-panic na kutoa kisu ila akazidiwa ujanja,je ni kweli na kama kweli kama hakua na hatia kwanini atoe silaha mapema?!
6. Kuna sehemu niliona mama anasema anataka amtolee jicho lake moja ampe,je kama ana uchungu kiasi hiki kwanini hakuwahi kushitaki jambo hilo lililomfika mwanae?
Atakuwa ndugu yake scorpion, lazima.Kukosa hakutoi kibali cha kutobolewa macho, kijana wa mbeya ndiye aliyemkosea mwalimu lakini si kibali cha mwalimu kupiga kama mbuzi nafikili Una kosa weredi
Mkuu,Kwa hiyo hata wewe ukikosea/ukiwa na makosa ni halali mtu uliyemkosea akutoe macho kikatili uwe kipofu?....
Vyovyote ilivyokuwa, hakuna mtu mwenye haki ya kumpa upofu mwenzake kikatili eti kwa sababu amekosea/ni mhalifu....
Kama Said alikuwa na makosa, angeepelekwa kwwenye vyombo vya sheria na sio kufanyiwa ukatili huu wa kutobolea macho.....Faanya ujiweke wenye nafasi ya Said (kwamba wewe ndiye SAID na umetobolewa macho na kupata upofu)...
Ukiwa na makosa ndiyo unatakiwa utolewe macho?Maswali yangu kwenu mliomhukumu huyu mtuhumiwa kabla hata ya hukumu halali ya mahakama. Kwanza niseme kuwa watanzania tuache kufanya mambo kwa mihemuko na kutoa hukum haraka,mimi binafsi sitaamini kama huyu jamaa kaonewa mpaka nijibiwe maswali haya
1. Baada ya kutolewa macho kwanini hakwenda kushitaki kama yeye alikuwa na haki mpaka media zimemfata ndio kasema
2. Haiingii akili kusema eti watu wote waliokuwapo wakati anatolewa macho hawakuwa na uwezo wa kumsaidia kwa kumkabili scorpion, Je kwanini hawakumsaidia wala kwenda ku report polisi?
3. Je, watu wanaomzunguka huyo Said mbona hawajitokezi kumwongelea kwa mema yoyote na wala kumsitikia,je ni kwakuwa na wao walishamchoka?
4. Jina la scorpion ni kama majina mengne ya kibabe kama warrior nk ambayo vijana hupenda kuyatumia,sasa yeye ana uhakika gani kuwa mtuhumiwa ndio scorpion alomtoa macho na kama alikuwa anamfahamu kwanini hata nduguze hawakwenda kushitaki?
5. Kuna shutuma kuwa yeye mtendwa alifuatwa kwa amani akawa anaulizwa juu ya wizi uliotokea ila ghafla aka-panic na kutoa kisu ila akazidiwa ujanja,je ni kweli na kama kweli kama hakua na hatia kwanini atoe silaha mapema?!
6. Kuna sehemu niliona mama anasema anataka amtolee jicho lake moja ampe,je kama ana uchungu kiasi hiki kwanini hakuwahi kushitaki jambo hilo lililomfika mwanae?