Aliyetolewa macho yawezekana yeye ndiye mkosaji


Ni ajabu sana hukumu imeshatolewa wakati upepelezi unaendelea. Radios zetu na social media zinajua sana kuhukumu.
 
Ni kosa gani ambalo adhabu yake ni kutolewa macho? Hata kama ni street justice..... hii imezidi.
Scorpion hana Janja ya kuukwepa mkono wa nyapara
Wezi wakichomwa moto kwa kuvishwa tire au kukatwa mikono au miguu mbona huwa mnaona kawaida..... Sasa huyo mwizi kutolewa
watu povu kibao
 
Mtu anakutolea kisu ili akuchome unawezaje kumfikisha mahala husika kwa muda huohuo? Au unamaanisha angemruhusu bila kufanya chochote achomwe ndipo apeleke mahala husika?
Kwa sisi tunaoishi Dar es salaam uswahilini suala la vijana wahuni kutoleana visu ni jambo la kawaida sana, lakini hili la kutoboana macho ni jambo La kushangaza mnoo na la kutisha pia!
 
Waliolibeba wamelibeba kwa huruma zao za mioyo yao! Mamlaka husika ni Mahakama tu na ndio watakaolibeba kindaki ndaki watupe ufumbuzi wa maswali yako juu ya janga hili kwa kijana mwenzetu
 
Wewe kama si mshirika wa scorpion basi ni ndugu yake! Hasira za hivi mkazifanyie kwenye miili ya mama zenu msituletee upuuzi wa kufananisha yesu na utumbo wako huu,Na usubiri muda ufike jibu litapatikana ya nini kujipotezea muda kutaka kutushawishi kuwa Said alistahili alichofanyiwa!!!?
 
mahakama ina njia zake za kufanya kazi ambazo si kama mahakama za social media . Pili tusije shangaa mtu kashinda kesi cku hyo na kuonekana aliefanyiwa kitendo na yy ana kesi ya kujibu kwani siku zote kunaitajika mashaidi na lazima muhusika atambuliwe na mshitaki kingine napata wasiwasi je toka bwana said kapata ajari mpaka kapona alikwenda police??? na napata wasiwasi hv mtu mwenye mafunzo ya ziada kwenye mapigano akuchome visu wakati ana uwezo wa kukudhibiti bila ya kutumia siraha nina waswas na kile kisu kilikuwa cha ..............
 
Ivi ni nani mwenye kosa mendaji au mtendewa Kwa maana mtendewa tmeona alichofanyiwa na kama ilikuwa ni mhalifu he ni kwann apigwe na MTU mmoja badala ya wananchi wote? Kosa analo alomtoa macho uyu jamaa
 
Tayari hivyo vi misaada alivyopewa mmeanza kuona wivu wanaume wa daslam buwana
 
mkuu mawazo yako yameongozwa na ushabiki na si hali halisi mfano #2 ina kinzana na # 5 kama haikuingii akilini mtu kutobolewa macho mbele ya watu, inakuwaje ikuingie akilini alitoa kisu kumchoma jamaa akamuwahi (kama una kubali hili, lazima ukubali kuwa watu walikuwepo wakaona akitaka mchoma kissu akashindwa nguvu akatobolewa macho mbele ya hao watu)

tofaut na hapo umeongozwa na hisia sio uchambuzi makini
 
Mkuu,

Nadhani hujaelewa uzi nachelea kusema umekurupuka. Hakuna anae halalisha unyama na huenda ni USHETANI wa Bwana Scorpion lakini Dhima ya Uzi ni kufahamu jeeeee, huenda Bwana said ndie alieamsha hasira za Bw Scorpion.

Wanasema in any action there is reaction sasa ukila ujue utaenda chooni.
 
Stories zenu hakuna anayetaka ...

Kama Jamaa ni mkosaji hatutaki pia kujua

Tunachojua hapa ni KUMJERUI vibaya kiasi cha kutaka kumtoa roho..

sheria INA ruhusu kila Mtu kutuhumiwa na kutuhumu .

Nikushauri mtoa Uzi ukasaidie Polisi umtetee SCORPION hatuwezi jua maslah yake kwako huku hakuna mahakama ..kapande Mahakamni plz

Inakuuma sana mtu kushtakiwa kwa kumtoa macho mwenzio ila haikuumi mwenzako kutolewa macho

Ndo watanzania mliobaki ..mnajitia ujuaji tu ..Kasimame mahakamani utete hili ..inawezekana UKAMTOA SCORPION
 
Mtoa uzi unamatatizo ya uelewa na fikra ila kama unaona ishu haipo ivo basi kamtoe ndani uyo alomtoboa mwenzie macho afu umfunge saidi ally
 
Ukiwa na makosa ndiyo unatakiwa utolewe macho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…