Iringa Native
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 961
- 3,050
...
Lkn njia sahihi ilitakiwa kufikisha mahala husika,adhabu ya kumtoa macho haikuwa sahihi hata kama alimfumania na mkewe,,too muchhi
hili tukio media zimelipika mno matokeo yake na sisi tukafanya maamuz kwa hisia na kuhsi jamaa kaonewa kwa 100%,ila hakuna lililofichwa ambalo halitafichuka chini ya jua!
Kukosa hakutoi kibali cha kutobolewa macho, kijana wa mbeya ndiye aliyemkosea mwalimu lakini si kibali cha mwalimu kupiga kama mbuzi nafikili Una kosa weredi
- maswali yangu kwenu mliomhukum huyu mtuhumiwa kabla hata ya hukumu halal ya mahakama
kwanza niseme kuwa watanzania tuache kufanya mambo kwa mihemuko na kutoa hukum haraka,mimi binafsi sitaamini kama huyu jamaa kaonewa mpaka nijibiwe maswali haya
1.baada ya kutolewa macho kwann hakwenda kushitaki kama yeye alikuwa na haki mpaka media zimemfata ndo kasema
2.haiingii akili kusema et watu wote waliokuwapo wakat anatolewa macho hawakuwa na uwezo wa kumsaidia kwa kumkabili scorpion,je kwann hawakumsaidia wala kwenda ku report polisi
3.je watu wanaomzunguka huyo said mbna hawajotokez kumwongelea kwa mema yoyote na wala kumsitikia,je ni kwakuwa na wao walishamchoka?
4.jina la scorpion ni kama majina mengne ya kibabe kama warrior nk ambayo vijana hupenda kuyatumia,sasa yy ana uhakika gan kuwa mtuhumiwa ndo scorpion alomtoa macho na kama alikuwa anamfaham kwann hata nduguze hawakwenda kushitaki
5.kuna shutuma kuwa yy mtendwa alifatwa kwa aman akawa anaulizwa juu ya wizi ulotokea ila ghafla aka-panic na kutoa kisu ila akazidiwa ujanja,je ni kwel na kama kwel kama hakua na hatia kwanin atoe silaha mapema!
6.kuna sehem nliona mama anasema anataka amtolee jicho lake moja ampe,je kama ana uchungu kiasi hiki kwanini hakuwah kushitak jambo hilo lililo mfika mwanae
Kwa hiyo hata wewe ukikosea/ukiwa na makosa ni halali mtu uliyemkosea akutoe macho kikatili uwe kipofu?....
- maswali yangu kwenu mliomhukum huyu mtuhumiwa kabla hata ya hukumu halal ya mahakama
kwanza niseme kuwa watanzania tuache kufanya mambo kwa mihemuko na kutoa hukum haraka,mimi binafsi sitaamini kama huyu jamaa kaonewa mpaka nijibiwe maswali haya
1.baada ya kutolewa macho kwann hakwenda kushitaki kama yeye alikuwa na haki mpaka media zimemfata ndo kasema
2.haiingii akili kusema et watu wote waliokuwapo wakat anatolewa macho hawakuwa na uwezo wa kumsaidia kwa kumkabili scorpion,je kwann hawakumsaidia wala kwenda ku report polisi
3.je watu wanaomzunguka huyo said mbna hawajotokez kumwongelea kwa mema yoyote na wala kumsitikia,je ni kwakuwa na wao walishamchoka?
4.jina la scorpion ni kama majina mengne ya kibabe kama warrior nk ambayo vijana hupenda kuyatumia,sasa yy ana uhakika gan kuwa mtuhumiwa ndo scorpion alomtoa macho na kama alikuwa anamfaham kwann hata nduguze hawakwenda kushitaki
5.kuna shutuma kuwa yy mtendwa alifatwa kwa aman akawa anaulizwa juu ya wizi ulotokea ila ghafla aka-panic na kutoa kisu ila akazidiwa ujanja,je ni kwel na kama kwel kama hakua na hatia kwanin atoe silaha mapema!
6.kuna sehem nliona mama anasema anataka amtolee jicho lake moja ampe,je kama ana uchungu kiasi hiki kwanini hakuwah kushitak jambo hilo lililo mfika mwanae
Kwa hiyo adhabu ya viongozi wa vibaka ni kutolewa macho?...Mtolewa Macho Kama Serikali Ikipitisha Kura Ya Siri Makonda Lazima Ataumbuka, Jamaa Inasemekana Alikuwa Kiongozi Mkuu Wa Vibaka Na Waporaji Huko Bonde La Mto Msimbazi/Vingunguti Na Tabata