Aliolewa na mimba yangu

Guyz mi sio mwandishi mzuri wa story na ni mara ya kwanza hii ni stori ya rafiki yangu!!! yote haya yametokea!! kuna kipindi jamaaa aliamua kupiga chin kabisa kuhus huyu dem akamwambia asimtafte tena bt dem akanywa sumu na mother wa dem akampigia jamaa sim akimwomba asiache kuwasiliana na mwanae!!!!! am vry sorry for poor writtngs am nt a story maker guyz!!
 

Kunawakati sikukuelewa na sasa sikuelewi kabisa...Sumu ..yaani alikunywa ajali ya jamaa kumpiga chini?
 
Samahani nilipofika hapo kwenye blood group O nikaona kama nakunywa chai.....

Ngoja nitarudi
...
 
Acha ujinga mimba yako ikiwa kwako kwa mwenzako sio yako
 
Waachie wenzio na yakwao wewe tafuta yako. Yako yashapita, huyo ni mke wa mtu sasa.
 
sasa kijana unafikiri ukimaliza chuo ndio umepata ajira?? maliza chuo,sota mtaani ukitafuta ajira,pata ajira,jipange kimaisha na kisha umuoe huyo mwanamke tena utakuwa umemsaidia sana huyo jamaa maana atakuwa ameshamkamua vyakutosha na amemzalisha kama watoto wa4 hivi kwahiyo anahitaji kubadilisha mboga!! vipi field unafanya lakini??
 
Ngoja nikanywe juice ya ukwaju maana shigongo anatuharibu🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
Achenii ulimbukeni vijana.....Leo unajidai mtoto mnafanana, then utaaminishwa na DNA.... Huyo kajaribu ndoa imemshinda si unajua kunguru wa Zenji hafugiki???????????? Hili kanyaboya mkuu, fungua macho...
 

Huyo mwanamke hajielewi
 
Inakuwaje unatamani mke wa mtu asee!?
Halafu ilikuwaje ukaamini hiyo story ati jamaa alikubaliana na wazazi wake kuwa ampe damu kwa sharti la kuoana!?

Inakuwaje wewe kufikiri kuwa story yako inaaminika asee!?
Haiaminiki bana.
 
Enzi za umri wako A'level wengine tulikuwa tunafikiria masomo na kula maisha wewe unafikiria mambo ambayo sie tuliyafikiria baada ya kumaliza degree ya kwanza. Yaani unajiingiza kwenye ulimwengu wa mahaba na masomo je? Embu soma kaonane na wa vyuoni huko labda utamsahau mke wa mtu huyo.
 
Hahaaa zamu sikuhizi imekuwa kama figo yan mtu anakuoa. Kosa kakuchangia damu yan umedanganywa mchana mweupeee waache na ndoa Yao ww tafuta wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…