Alinselemaaa heslb

man of the year

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
422
Reaction score
205
Dar kugumu axee life tight wacha nirud home huku utumwan habari za chuo ziishie hapa.
 
Mi mwenye hata cfikirii kwenda mpaka nione olas imecheka
 
Mkuu ukumbuke kuvaa chupi maana mkishakosa mikopo hamchelewi kutembea uchi nyie
 
Vyuo vikifunguliwa mkinunuliwa Viroba mnaanza Maandamano eti tangu Uhuru hakuna kilichofanyika kumbe ukimcheki hata chupi alilovaa hapo ni pesa ya mkopo wa chuo aliopewa na Serikal
 
rudi home asee boom likitoka urudi lisipotoka sio mbaya next year si mbali
 
rudi home asee boom likitoka urudi lisipotoka sio mbaya next year si mbali

Next year si mbali wakati miaka inaenda mkuu...ukae mtaani bila ishu c tutakuwa wavuta bangi kama ndio hivyo
 
Mwendo ni ule ule,kama ulijaza priority course usiwe na hofu lazma upate mkopo...ila kama umechaguliwa non priority TAFUTA KAZI YA KUFANYA KITAA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…