rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,514
- 41,968
watu wamemuwashia moto jamaaampaka sasa mwenye *siredi* kakimbia.
watu wamemuwashia moto jamaaampaka sasa mwenye *siredi* kakimbia.
Haaaa haaaaa! Kwahiyo endelea kula ukimaliza funikia hukuona kama ni matusi na dharau kubwa ila kuombwa nywila? Daaah!Kama wiki mbili zilizopita nikiwa chumbani na mpenzi wangu ambae hatuna muda mrefu kwenye mahusiano tulikwazana kwasababu yeye ndo chanzo cha kukwazana kwetu.
Mzee mzima nipo juu ya kifua chake napiga zile in and out na mzuka umenikolea kweli kweli mara naona anabana miguu ananambia nimuonyeshe pattern za simu yangu ambayo alikua ameishikilia mkononi mwake kitu ambacho kilinikera kupita kiasi mana ni bora angeniambia nimuonyeshe hizo pattern za kufungulia simu kabla hata game haijaanza.
Nikimwambia lete nikufungulie hiyo simu hataki yani anachotaka nimuonyeshe jinsi ninavyochora zile pattern.Kiukweli alinikera sana mana hata mimi sina kawaida ya kukagua simu yake ambavyo yeye anataka kufanya kwenye simu yangu.
Hivi ninavyoongea nishampiga chini and there is no turning back to me once nikiamua kumuacha msichana.
Kwani tshs ngapi?
Alimtoa humu JF,yaani huyo alifuata ule usemi wa kwamba mwanaume akiwa anapiga mashine ukimwambia kitu chochote akubali.....huyo demu bwege sana!!Watu wana vituko. Huyo dada ulimuokota wapi?
duh Mzee unapiga show mtu anachezea Simu,yajayo yanasikitisha Kwa kweli
Watoto wa kichaga wazitooo sanaaaa kitandaniHuo muda wa kukagua simu wakati anapigwa rungu anaupata wapi? Mwanamke gogo kitandani piga chini mkuu.
Umenikumbusha mbali mwaka 2014 nilikutana na binti mmoja mzuri wa sura, nikamtongoza akanikubalia, kaja gheto mtoto wa Kichaga. Mara Paaaaap gem limeanza mtu katulia tuu, miguno kwa mbali kama ya kulazimisha. Mara paaap simu yake ikaita, akanyoosha mkono akaichukua, eti mama yake kampigia akaanza kuongea na simu huku ameniachia papuchi napiga mzigo yeye katulia tuliii hata hakuna miguno. Wanaongea mambo ya mashamba, biashara, kuku. Nilijikuta hata stimu inakata. Hakurudi kwangu aisee.
Wanaume wa Dar bwana! Vibamia vinawapa shida yani unapiga demu huku anachezea cm?
Ina maana mzee mzima alikuwa kama hafanyi chochote, kutikisika, mwali kusikia kitu kinagonga na patashika zote, kweli mzee alifeli kwa hili, maana wengine "man at work" inakuwa ni shughuli, anatakiwa asahau kila kitu na kusikilizia mziki tu..Mzee yani unamkaza mtu anachezea simu?!
Alikua hakazi vizuri huyuMzee yani unamkaza mtu anachezea simu?!