ukiona moshi,jua kuna moto!
Sio siri, mi nakerwa na watu wanaokazania kuongelea makabila ya watu! Hivi nani wa kumkosoa muumba? Wote njia yetu ni moja! hapa tunashabikia ugomvi na wanyarwanda sijui kumfurahisha nani? tuwasamehe ili kulinda amani na umoja wa africa! Huu si muda wa kukazana kumimina petrol ktk migogoro ila kuiepuka na kulinda utu wetu.
Ukitukana, jitafakari kwa imani yako!
Sent from my blackberry 9220 using jamiiforums