Shauri yenuFeisal ndiye aombe radhi yanga
Hakuna namna Bali kusema ukweliKabisa mkuu....japo inauma
Kwani huyu bwana amekuwa msemaji wa APR hadi amsemee kocha wake?Kocha wa APR aombe radhi
"Mapinduzi Cup ni Tournament Maalum yenye heshima kubwa hapa Afrika Mashariki na Kati.. Timu nyingi kubwa, Wachezaji wengi wakubwa wameshiriki.
Mwenyekiti wa Wasemaji Afrika Ally Kamwe." Ameandika Kamwe.View attachment 2867535
Kutokana na sifa zifuatazoHuo uenyekiti ameupata kwny chama kipi?
Aaah 3 malogo alizingua sana mkuuHoja yake ni ya msingi sana hata mimi nimemuelewa.
Ila asivuke mstari kwa kuwataka APR waombe radhi kwenye madai ambayo yamegusa ukweli.
Kwamba ni uongo kuwa swala la waamuzi haliwezi kuitia aibu soka la Tanzania?
Mwezi October Ally Kamwe alipewa adhabu na TFF kwa kumdhihaki mwamuzi Tatu Malogo.
Na hata humu minions wake walikuwa wanakejeli watu wengine kwa kutumia jina la Tatu Malogo.
Lini Ally Kamwe alijitokeza hadharani kumuomba radhi Tatu Malogo?
Sitoi maoni kwenye nchi yenye taasisi zinazoongozwa na matahira.Vp maoni Yako?