M Malaria 2 JF-Expert Member Joined Oct 17, 2023 Posts 9,177 Reaction score 13,989 Nov 6, 2025 #1 Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama
Norton82 JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 1,192 Reaction score 1,076 Nov 6, 2025 #2 Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako Click to expand... Muweza wa Kila kitu vilivyo dhahiri na vya sirini, Amin.
Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako Click to expand... Muweza wa Kila kitu vilivyo dhahiri na vya sirini, Amin.
Lloyd Munroe JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 14,259 Reaction score 35,534 Nov 6, 2025 #3 Sharif Majin kumbe bado unaishi ?
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 20,950 Reaction score 40,891 Nov 6, 2025 #4 Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama Click to expand... Tumevuka salama wakati askari wa Samia wameua maelfu ya Watanganyika? Wazanzibari mna ushetani mwingi sana .
Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama Click to expand... Tumevuka salama wakati askari wa Samia wameua maelfu ya Watanganyika? Wazanzibari mna ushetani mwingi sana .
GEBA2013 JF-Expert Member Joined Feb 22, 2014 Posts 6,269 Reaction score 9,232 Nov 6, 2025 #5 Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah
Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah
Mlaleo JF-Expert Member Joined Oct 11, 2011 Posts 16,380 Reaction score 13,191 Nov 6, 2025 #6 Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama Click to expand... Nilidhani kila kitu anapanga Allah kama msemavyo kumbe sifa njema tu, na mbaya usiache kumpa pia usimpunje chake.
Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama Click to expand... Nilidhani kila kitu anapanga Allah kama msemavyo kumbe sifa njema tu, na mbaya usiache kumpa pia usimpunje chake.
Bwana Tony Cipriano JF-Expert Member Joined Nov 17, 2022 Posts 4,231 Reaction score 9,079 Nov 6, 2025 #7 9 disemba
Kijukuu cha ngoyayi JF-Expert Member Joined Oct 27, 2018 Posts 3,091 Reaction score 5,925 Nov 6, 2025 #8 Lloyd Munroe said: Sharif Majin kumbe bado unaishi ? Click to expand... Dah we jamaa π
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 13,921 Reaction score 30,191 Nov 6, 2025 #9 Wewe huna tofauti na wale waasi wa RSF kule Sudan πΈπ©. Allah anayeacha mauaji ya raia yatendeke kwa jina lake ni Allah mpumbavu na katili sana.
Wewe huna tofauti na wale waasi wa RSF kule Sudan πΈπ©. Allah anayeacha mauaji ya raia yatendeke kwa jina lake ni Allah mpumbavu na katili sana.
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 13,921 Reaction score 30,191 Nov 6, 2025 #10 GEBA2013 said: Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah Click to expand... Kuna mwarabu mmoja kwenye ndege alianza kusema Allah akbar! Abiria wengine wakaingiwa na taharuki wakajua ni mlipuaji wa kujitoa mhanga...π Jihadists ni watu wabaya sana Dunia hii. Hawakawii kujitoa mhanga kulipua umati wa watu kumtetea huyo Allah wao.
GEBA2013 said: Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah Click to expand... Kuna mwarabu mmoja kwenye ndege alianza kusema Allah akbar! Abiria wengine wakaingiwa na taharuki wakajua ni mlipuaji wa kujitoa mhanga...π Jihadists ni watu wabaya sana Dunia hii. Hawakawii kujitoa mhanga kulipua umati wa watu kumtetea huyo Allah wao.