M Malaria 2 JF-Expert Member Joined Oct 17, 2023 Posts 8,763 Reaction score 13,295 Nov 6, 2025 #1 Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama
Norton82 JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 1,187 Reaction score 1,060 Nov 6, 2025 #2 Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako Click to expand... Muweza wa Kila kitu vilivyo dhahiri na vya sirini, Amin.
Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako Click to expand... Muweza wa Kila kitu vilivyo dhahiri na vya sirini, Amin.
Brelim Skoro_ JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 13,449 Reaction score 33,605 Nov 6, 2025 #3 Sharif Majin kumbe bado unaishi ?
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 19,109 Reaction score 36,109 Nov 6, 2025 #4 Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama Click to expand... Tumevuka salama wakati askari wa Samia wameua maelfu ya Watanganyika? Wazanzibari mna ushetani mwingi sana .
Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama Click to expand... Tumevuka salama wakati askari wa Samia wameua maelfu ya Watanganyika? Wazanzibari mna ushetani mwingi sana .
GEBA2013 JF-Expert Member Joined Feb 22, 2014 Posts 6,059 Reaction score 8,690 Nov 6, 2025 #5 Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah
Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah
Mlaleo JF-Expert Member Joined Oct 11, 2011 Posts 16,364 Reaction score 13,154 Nov 6, 2025 #6 Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama Click to expand... Nilidhani kila kitu anapanga Allah kama msemavyo kumbe sifa njema tu, na mbaya usiache kumpa pia usimpunje chake.
Malaria 2 said: Alhamdulillah Ee Allah, sifa njema zote ni zako. Tumevuka salama Click to expand... Nilidhani kila kitu anapanga Allah kama msemavyo kumbe sifa njema tu, na mbaya usiache kumpa pia usimpunje chake.
Bwana Tony Cipriano JF-Expert Member Joined Nov 17, 2022 Posts 3,809 Reaction score 7,931 Nov 6, 2025 #7 9 disemba
Kijukuu cha ngoyayi JF-Expert Member Joined Oct 27, 2018 Posts 2,996 Reaction score 5,699 Nov 6, 2025 #8 Lloyd Munroe said: Sharif Majin kumbe bado unaishi ? Click to expand... Dah we jamaa π
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 13,254 Reaction score 28,539 Nov 6, 2025 #9 Wewe huna tofauti na wale waasi wa RSF kule Sudan πΈπ©. Allah anayeacha mauaji ya raia yatendeke kwa jina lake ni Allah mpumbavu na katili sana.
Wewe huna tofauti na wale waasi wa RSF kule Sudan πΈπ©. Allah anayeacha mauaji ya raia yatendeke kwa jina lake ni Allah mpumbavu na katili sana.
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 13,254 Reaction score 28,539 Nov 6, 2025 #10 GEBA2013 said: Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah Click to expand... Kuna mwarabu mmoja kwenye ndege alianza kusema Allah akbar! Abiria wengine wakaingiwa na taharuki wakajua ni mlipuaji wa kujitoa mhanga...π Jihadists ni watu wabaya sana Dunia hii. Hawakawii kujitoa mhanga kulipua umati wa watu kumtetea huyo Allah wao.
GEBA2013 said: Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah Click to expand... Kuna mwarabu mmoja kwenye ndege alianza kusema Allah akbar! Abiria wengine wakaingiwa na taharuki wakajua ni mlipuaji wa kujitoa mhanga...π Jihadists ni watu wabaya sana Dunia hii. Hawakawii kujitoa mhanga kulipua umati wa watu kumtetea huyo Allah wao.