Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Kwa mtu aliefuatilia mechi kati ya Algeria na Senegal, Algeria ni mapande ya Mtu jamani yameshiba kisawasawa ukimpush tegemea kudondoka tu 😀😀 ,,inshort majamaa yana nguvu halafu marefu. Akina Sadio Mane na teamates wanaonekana kama akina Mudathir, Mwantika, Kessy, Ulimwengu 😂😂😂 Aise tukikutananao tusikabe. Heri nusu shari kuliko shari kamili,,,tukubali kufungwa hata 20.