Albine Marcus:Aibana CCM,aipa shavu UKAWA

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,202
Reaction score
138,575
Mwanaharakati Marcus anaibana kisawasawa CCM kuacha ubabe.Yuko katika mjadala Star TV.Anasema Ukawa kurudi bungeni ni sawa na mtu aliyejeruhiwa na mamba,leo umwambie arudi majini kupigana na mamba huyo.hivyo UKAWA imekuja ardhini(kwa wananchi) ambako mamba(Intarahamwe) hana nguvu(tumeona kwenye mdaholo)
 
No return until the orijino rasmu imechukua hatamu yake! Viva Ukawa.
No return kona zaidi m
 
This is very nice, it's high time raia wa Tanzania nao waheshimiwe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…