johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,439
- 142,688
Ndio.Sawa atakula hizo degree au
Kwa hiyo na wewe utaiba mali ya umma ukipata uteuzi ili ukistaafu uishi vizuri?Sawa atakula hizo degree au
Swali zuri!Kwa hiyo na wewe utaiba mali ya umma ukipata uteuzi ili ukistaafu uishi vizuri?
Kwa hiyo na wewe utaiba mali ya umma ukipata uteuzi ili ukistaafu uishi vizuri?
Kwanza wanabodi waombe msamaha kwa kumwita Chalamila ni RC msitafu,sema RC wa zamani wapi alikwambia amesitafu?Akihutubia kama mgeni rasmi katika ufunguzi wa shule ya Range Primary & Sec school mjini Ilula RC mstaafu Albert Chalamila amesema yeye amesoma UDSM kwa miaka 7 na ana degree, post graduate diploma na Masters za kutosha hivyo hana njaa.
Chalamila amesema viongozi wengi wakiteuliwa wanaendekeza wizi wa mali za umma ili wasistaafu wakiwa maskini lakini yeye hakuwa mmoja wao kwa sababu elimu yake ni mtaji.
Chalamila amewataka wanafunzi kuzingatia masomo wawapo shuleni na wasiendekeze makundi, ndio maana hata yeye alipokuwa RC wa Mbeya aliwachapa viboko wanafunzi waliochoma mabweni
Jumaa kareem!
Mwanri kwa sasa anakula za madhabahuni!Kwanza wanabodi waombe msamaha kwa kumwita Chalamila ni RC msitafu,sema RC wa zamani wapi alikwambia amesitafu?
Pia Kama hana njaa mbona bado anapiga kelele? Ulimuona wapi Mwanri Agrey akipiga kelele?
Jibu wewe unayehoji kama anakula degree au la! Je aliiba na kama aliiba, nini?Unaamini sio mwizi
Ana masters nyingi japo sijui ni ngapi lakini hajaelimika. Anahitaji kurudi shule akasome na kuelimika. Mbona alipoteuliwa ukuu wa mkoa hakusema hana njaa hivyo wawape wenye njaa. Chalamila acha sizitaki mbichi hiziAkihutubia kama mgeni rasmi katika ufunguzi wa shule ya Range Primary & Sec school mjini Ilula RC mstaafu Albert Chalamila amesema yeye amesoma UDSM kwa miaka 7 na ana degree, post graduate diploma na Masters za kutosha hivyo hana njaa.
Chalamila amesema viongozi wengi wakiteuliwa wanaendekeza wizi wa mali za umma ili wasistaafu wakiwa maskini lakini yeye hakuwa mmoja wao kwa sababu elimu yake ni mtaji.
Chalamila amewataka wanafunzi kuzingatia masomo wawapo shuleni na wasiendekeze makundi, ndio maana hata yeye alipokuwa RC wa Mbeya aliwachapa viboko wanafunzi waliochoma mabweni
Jumaa kareem!
Majibu?Swali zuri!
Hii takataka iliiba sana ikawa inafanya Mradi wa Kujenga Manyumba Iringa.Akihutubia kama mgeni rasmi katika ufunguzi wa shule ya Range Primary & Sec school mjini Ilula RC mstaafu Albert Chalamila amesema yeye amesoma UDSM kwa miaka 7 na ana degree, post graduate diploma na Masters za kutosha hivyo hana njaa.
Chalamila amesema viongozi wengi wakiteuliwa wanaendekeza wizi wa mali za umma ili wasistaafu wakiwa maskini lakini yeye hakuwa mmoja wao kwa sababu elimu yake ni mtaji.
Chalamila amewataka wanafunzi kuzingatia masomo wawapo shuleni na wasiendekeze makundi, ndio maana hata yeye alipokuwa RC wa Mbeya aliwachapa viboko wanafunzi waliochoma mabweni
Jumaa kareem!