ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,693
- 1,657
Mfano wa Mbowe haufai, maana yeye si msomi. yeye ni mbumbu wa fomsigsi ambaye hakupata nafasi kwenda chuop kikuu wakati wakati huo ukipata principle E tatu au E mbili na D moja unapata nafasi UDSM. Nafikiri alipata division zero ya sasa ndioyo maana hakupata nafasi ya kwenda chuo kikuu. Kwa sababu ya kushindwa baba yake hakuweza kumpeleka India au USA. Alimpa kazi ya DJ Billicanas.Hata Mbowe ni tajiri lakini hajaacha siasa!