chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,334
- 1,318
Tabia ya wizi kwa wengi ma DC, RC ni kawaida, udhulumu moja kwa moja wananchi, wakurugenzi wao kwenye miradi, mbunge inabidi akae kimya ili waelewane vinginevyo ni ugomvi!
Ogopa sana mtu anayejinasibu kuwa yeye sio mwizi
Mbowe siyo tajiri, sema Mbowe ana hela. Matajiri wanajulikana na kwenye orodha ya matajiri Mbowe hayumo labda huko ufipa mnamwita tajiri mbowe.Hata Mbowe ni tajiri lakini hajaacha siasa!
RC Mtumbuliwaji😅Kwanza wanabodi waombe msamaha kwa kumwita Chalamila ni RC msitafu,sema RC wa zamani wapi alikwambia amesitafu?
Pia Kama hana njaa mbona bado anapiga kelele? Ulimuona wapi Mwanri Agrey akipiga kelele?
Vyeti vinanunuliwa ila Elimu hainunuliki😅Mbona sasa reasoning yake ipo chini sana
😅😅😅😅😅😅😅Alisoma degree kwa miaka saba kwa sababu alikuwa na carry-over za kutosha.
Trump tajiri lakini ni mwanasiasa na bado anataka siasa....
Hichilema ni msomi na tajiri na hajajitenga na siasa kufikia kufungwa.....
👍Umeliweka vizuri Haikande Hichelema ni super dollar milionea
Halafu akasema huko Mwanza, wananchi bebeni hata mabango ya matusi ziara ya mama Samia.Nilikuwa simukubali huyu jamaa, lkn tangu alipochapa wanafunzi waliochoma shule ni kamukubali
EeehHalafu akasema huko Mwanza, wananchi bebeni hata mabango ya matusi ziara ya mama Samia.
We ni mjinga Chalamila alifanya hivo mkusudi ili atumbuliwe alijua hawezi kufanya kazi na mama! Maana mama ni mtu asiyejisimamia!Elimu yake haikumsaidia , ndiyo maana alifukuzwa kazi,kizembe kwa kuhimiza wananchi wa Mwanza,wajitokeza kwa wingi na Mabongo ya malalamiko kwenye ziara ya Rais mkoani Mwanza.Hii Ni kielelezo tosha kuwa hajaelimika au Elimu yake haikumsaidia kutatua changamoto za wananchi wake.Aache kujiliwaza au ni Kiki ya kutokea hadharani baada ya kukaa kimya toka amefukuzwa
Yeyote ajiitaye msomi huyo ni kilaza namba moja, wasomi halisi huitwa wasomi kutokana na matokeo ya kazi zao popote wafanyapo kazi.Akihutubia kama mgeni rasmi katika ufunguzi wa shule ya Range Primary & Sec school mjini Ilula RC mstaafu Albert Chalamila amesema yeye amesoma UDSM kwa miaka 7 na ana degree, post graduate diploma na Masters za kutosha hivyo hana njaa.
Chalamila amesema viongozi wengi wakiteuliwa wanaendekeza wizi wa mali za umma ili wasistaafu wakiwa maskini lakini yeye hakuwa mmoja wao kwa sababu elimu yake ni mtaji.
Chalamila amewataka wanafunzi kuzingatia masomo wawapo shuleni na wasiendekeze makundi, ndio maana hata yeye alipokuwa RC wa Mbeya aliwachapa viboko wanafunzi waliochoma mabweni
Jumaa kareem!
JiweBila kumsahau mzee baba
hela halaliUkiona hivyo ujue anazo biashara na vitega uchumi vinavyompa hela.