Al-Shabab yawaua 40 wakitizama Man U-Arsenal

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,296
Watu 40 wameuwa wakitizama mechi baina ya Manchester United na Arsenal baada ya shambulizi lililotekelezwa na Al Shabab huko Baidoa.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa milipuko miwili mikubwa ilitokea, katika mkahawa huo uliokuwa umejaa mashabiki wa mechi kati ya Manchester United na Arsenal.

Miongoni mwa wale waliouawa ni pamoja na afisa wa serikali ya jiji hilo.

Mji wa Baidoa ulitekwa na wapiganaji waislamu wa Al-Shabaab mwaka wa 2008, lakini walitimuliwa mwaka 2012.

Mji huo ulioko takriban kilomita 200 kutoka mji mkuu Mogadishu ni mji wa hivi punde zaidi kushambuliwa na wanamgambo hao wa kiislamu.

Shambulizi la kwanza lilitokea katika mgahawa maarufu unaopendwa na wageni na viongozi wa kisiasa ambao ulishambuliwa kwa gari lililokuwa limetegwa bomu.

Walionusurika waliokolewa na wanajeshi wa muungano wa Afrika AMISOM.

Shambulizi hili limetokea muda mchache tu baada ya kukamilika kwa warsha ya viongozi wa mataifa yanayochangia wanajeshi wake katika jeshi la muungano wa Afrika AMISOM.

Siku ya ijumaa watu wengine zaidi ya 20 waliuawa katika mgahawa mwengine kufuatia shambulizi la Al Shabaab.

Chanzo: BBC

=======
UPDATES:

Two blasts kill 40 in Somalia
By Robyn Kriel and Mariano Castillo, CNN

Updated 1937 GMT (0337 HKT) February 28, 2016


(CNN) Two bombings in south-central Somalia have killed at least 40 people and injured 70 others.

The bombings happened in the town of Baidoa, a key location in the African Union's fight against Al-Shabaab.

A female suicide bomber detonated her explosives at a restaurant in Baidoa, and a car bomb exploded near a crowded pharmacy, a source with knowledge of the attacks told CNN.

The blasts in the remote town follow a pair of attacks Friday in a popular park in downtown Mogadishu and a restaurant there.

Al-Shabaab is the Islamist extremist group that has been terrorizing Somalia and neighboring nations for years.

The al Qaeda-linked militant organization's aim is to turn Somalia into a fundamentalist Islamic state, according to the Council on Foreign Relations. It hasn't confined its ambitions to Somalia, however, as evidenced by other horrific attacks like last year's massacre at Kenya's Garissa University College and a 2013 siege at Nairobi's upscale Westgate Mall.
 
Ifikie level.. watu wa Dunia..waanze kujadili na Haya Makundi..Alshabab, Taliban,ISIS,Al Nursa,Hamas,Alqaeda .waaangalie yanataka nini.. Kama wanapenda Sharia.. wapewe.Maeneo yao....yakujiongoza tuone itakuwaje..
 
Muslims are not happy in thre own country.. They are happy in Roma-Italy. Usa and UK..
Nani anabisha?
Mimi nabisha tena sana tu.
Hao ambao unasema wako Usa au Ulaya wengi wao ni masilahi ya kiuchumi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Sasa unataka kusema Waislamu waTanzania wanataka kukimbia hapa Bongo?
Jamani mkichangia kwenye mada fikirieni hata kiduchu.
 
Ifikie level.. watu wa Dunia..waanze kujadili na Haya Makundi..Alshabab, Taliban,ISIS,Al Nursa,Hamas,Alqaeda .waaangalie yanataka nini.. Kama wanapenda Sharia.. wapewe.Maeneo yao....yakujiongoza tuone itakuwaje..
mimi sidhani kama hawa watu unaweza ukakaa uka reason nao kitu cha maana, mfano kile Nigeria boko haram wanapinga eti elimu ya magharibi
sasa utakaa chini muongee nini?
 
Mimi nabisha tena sana tu.
Hao ambao unasema wako Usa au Ulaya wengi wao ni masilahi ya kiuchumi na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Sasa unataka kusema Waislamu waTanzania wanataka kukimbia hapa Bongo?
Jamani mkichangia kwenye mada fikirieni hata kiduchu.
Upo sahihi sema huyo jamaa ameenisha waislam hawana raha ktk nchi ambazo ni sharia ruled ones
 
Wachambuzi katika historia. Ya insurgency.. hamna.jeshi la inchi la nyingine lililoweza kushinda mashambulizi..Ya ndan..Angalia Afighastan.. Majesh..Ya NATO..kama. yanelekea kushindwa..na Taleban.. nikijaribu kuchake Kenya Kama wanaelekea ku give up na Alshabab.. hiii inaonehsa kwamba..Majeshi Ya Kigeni hayawezi..kamwe. kushinda vita vya Ndani.. afu nikicheck kuna baadhi.. Ya Ichi hazwezi American Democracy.. Bora waache..na styre yao. Ya kujiendesha
 
Ifikie level.. watu wa Dunia..waanze kujadili na Haya Makundi..Alshabab, Taliban,ISIS,Al Nursa,Hamas,Alqaeda .waaangalie yanataka nini.. Kama wanapenda Sharia.. wapewe.Maeneo yao....yakujiongoza tuone itakuwaje..
Wanataka dunia nzima muwa Waislamu na mfuate sharia....Uko tayari?
 
Back
Top Bottom