Akipitishwa Lowassa,itakuwa utata

Lowasa hauziki kwako lakini kwa Watanzania anauzika,Acha unafiki wako wewe mchumia tumbo wa Ufipa

MNAFIKI NI WEWE laki si pesa, UYU NGULI PIA GWIJI LA UFISADI HALIUZIKI,
TUNACHOJUA ANAUZIKA KWA NYIE WACHUMIA PIA MNAOTUMIA MATUMBO YENU KUFANYA MAAMUZI PIA MNAOPATA MKATE WENU WA KILA SIKU KUTOKANA NA WIZI WAKE,
 
VUTA - NKUVUTE njaa imeshatafuna ubongo wako wote, huna uwezo tena wa kufikiri.
 
Mzee Tupatupa msalimie Mako hapo Tabora.
 
Tunaomba Usiku Na Mchana Watupitishie Huyu Mamvi Tutapiga Dable Atakosa Urais Na Huku Pesa Alizoiba Atakuwa Ameludisha Kidogo Kwa Wananchi Kwa Kuwahonga, Huku Tukiwa Na Kauli Mbiu Ileile Kula Ccm Kulala Ukawa.
 
Tunaomba Usiku Na Mchana Watupitishie Huyu Mamvi Tutapiga Dable Atakosa Urais Na Huku Pesa Alizoiba Atakuwa Ameludisha Kidogo Kwa Wananchi Kwa Kuwahonga, Huku Tukiwa Na Kauli Mbiu Ileile Kula Ccm Kulala Ukawa.
Wewe ni mwehu umetumwa
 
Tunaomba Usiku Na Mchana Watupitishie Huyu Mamvi Tutapiga Dable Atakosa Urais Na Huku Pesa Alizoiba Atakuwa Ameludisha Kidogo Kwa Wananchi Kwa Kuwahonga, Huku Tukiwa Na Kauli Mbiu Ileile Kula Ccm Kulala Ukawa.

Kwa hiyo na za Kivuko kibovu,Train na Dreamliner tutarudishiwa 2020?
 
Mzee tupatupa mmeaibisha sana siasa za upinzani Tanzania .....hamtasonga mbele bila kusafisha hii taswira ....hata mruke ngoma vipi ....kazi hii lazima siku moja muiweke sawa ili muaminike tena ....
 
Unafki ni hatari kuliko Uchawi.

Upinzani wa Nchi hii hauna hoja wala Mamlaka ya kukemea ovu lolote.

Pumbavu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…