Akipigiwa simu haeleweki/anakua kama hapendi

Akipigiwa simu haeleweki/anakua kama hapendi

nina-kithembe

Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
63
Reaction score
14
Mawasiliano ni kitu kizuri sana katika nyanja mbali mbali hasa kwenye mahusiano. Huyu mwanamke mi simuelewagi mpaka imenifanya nifanye maamuzi magumu.

1. Kila ukimpigia simu-kuipokea ni mpaka misdcalls tano ziite...kakusamehe sana..itaita weeee ndo ataipokea.

2. Ukimpigia simu anakua hayuko tension na simu wala kuiheshim. Japo kutambua anayeongea nae ni mumewe.


3. Kila siku wewe ndio wa kumpigia tu..yeye hakupigii. Na hata ukipiga sometimes mara ajibu kwa dharau na kwa kupayuka.



4. Hupenda kuongea kwa kupayuka na kujibu utumboutumbo pemben kukiwa na rafiki yake au mashoga zake.


5. Ni mwanamke ambaye hunijengea akili ya kuona kwamba ana mwanamme pembeni. Nikichukia yeye ndio hua furaha yake nabkuzidi kuongea huku anacheka au huku anajokes...basi hapo mi ndo nataka nipasue hata simu.



Nimeamua kumblock....nafanya maisha yangu now. Nimevurugwa vya kutosha. Moyo unauma sana now.....but yataisha tu. Au kwa mwenye kujua dawa aniambie. Nimdelete kabisa kwenye memory...koz hapa bado moyo unauma. Na sitak nijipendekeze tena kumpigia koz alishakariri kua lazima ntampigia hata tukikosana vipi.
 
^^
Ni mke au mchumba?
Kama wewe ni mumewe (kwa ndoa) nina mashaka na uamuzi wako maana umechukua uamuzi bila kujua chanzo
^^
 
Bora kukosea kujenga nyumba kuliko kuoa........mtu wa hivyo wa nini sasa..........?
 
huyu ndio yule mke aliekusababisha utoke nje ya ndoa au yule wa addis ababa??? Samahan kukwambia ila umekurupuka kufanya maamuzi.
 
Man up.....stand up like mwanaume....unaaibisha namna hiyo...dah
 
Yani hiyo jinsi unavyotaka kumuacha nikama vile mchumba tu na hakuwa mke.....kama nilong distance relationship/ndoa..je huwa mnatembeleana mara ngapi kwa mwaka?mimi nipo kwenye long distance ndoa..my hubby yupo miles away from me the only thing inachotufanya kustay in love is communication na kutembeleana.jaribu kumtembelea huko alipo uone ni nini kinachomfanya hasa asikuheshimu.usichoke kirahisi hivyo.
 
And another thing hiyo long distance isiwe forever,either yeye akufwate au wewe umfwate......love is all about sacrifice and understanding.....ukiwaselfish kwenye mapenzi hakuna kitu kitaenda....isiwe me me thing,iwe us us thing.
 
mawasiliano ni kitu kizuri sana katika nyanja mbali mbali hasa kwenye mahusiano. Huyu mwanamke mi simuelewagi mpaka imenifanya nifanye maamuzi magumu.

1. Kila ukimpigia simu-kuipokea ni mpaka misdcalls tano ziite...kakusamehe sana..itaita weeee ndo ataipokea.

2. Ukimpigia simu anakua hayuko tension na simu wala kuiheshim. Japo kutambua anayeongea nae ni mumewe.


3. Kila siku wewe ndio wa kumpigia tu..yeye hakupigii. Na hata ukipiga sometimes mara ajibu kwa dharau na kwa kupayuka.



4. Hupenda kuongea kwa kupayuka na kujibu utumboutumbo pemben kukiwa na rafiki yake au mashoga zake.


5. Ni mwanamke ambaye hunijengea akili ya kuona kwamba ana mwanamme pembeni. Nikichukia yeye ndio hua furaha yake nabkuzidi kuongea huku anacheka au huku anajokes...basi hapo mi ndo nataka nipasue hata simu.



Nimeamua kumblock....nafanya maisha yangu now. Nimevurugwa vya kutosha. Moyo unauma sana now.....but yataisha tu. Au kwa mwenye kujua dawa aniambie. Nimdelete kabisa kwenye memory...koz hapa bado moyo unauma. Na sitak nijipendekeze tena kumpigia koz alishakariri kua lazima ntampigia hata tukikosana vipi.

.............
Futa tena delete kabisa.....over
 
Kama si mkeo Piga chini tuu.hakuna mapenzi ya kujipendekeza.love is mutual.kila mmoja hana budi kuwajibika kwa mwenzie.Let it Go
 
kwnye no.2 una mblock mke?????
ina maana mnaishi mbali mbali
 
Mawasiliano ni kitu kizuri sana katika nyanja mbali mbali hasa kwenye mahusiano. Huyu mwanamke mi simuelewagi mpaka imenifanya nifanye maamuzi magumu.

1. Kila ukimpigia simu-kuipokea ni mpaka misdcalls tano ziite...kakusamehe sana..itaita weeee ndo ataipokea.

2. Ukimpigia simu anakua hayuko tension na simu wala kuiheshim. Japo kutambua anayeongea nae ni mumewe.


3. Kila siku wewe ndio wa kumpigia tu..yeye hakupigii. Na hata ukipiga sometimes mara ajibu kwa dharau na kwa kupayuka.



4. Hupenda kuongea kwa kupayuka na kujibu utumboutumbo pemben kukiwa na rafiki yake au mashoga zake.


5. Ni mwanamke ambaye hunijengea akili ya kuona kwamba ana mwanamme pembeni. Nikichukia yeye ndio hua furaha yake nabkuzidi kuongea huku anacheka au huku anajokes...basi hapo mi ndo nataka nipasue hata simu.



Nimeamua kumblock....nafanya maisha yangu now. Nimevurugwa vya kutosha. Moyo unauma sana now.....but yataisha tu. Au kwa mwenye kujua dawa aniambie. Nimdelete kabisa kwenye memory...koz hapa bado moyo unauma. Na sitak nijipendekeze tena kumpigia koz alishakariri kua lazima ntampigia hata tukikosana vipi.
Pole sana huyo si wako!!hio namba 3 na namba 4 ni mbayaa mnoo,mwanamke lazima ajue wakati wakulifunga bakuli lake...huyo mwanamke hakuheshimu wala hakuthamini..
 
huyu ndio yule mke aliekusababisha utoke nje ya ndoa au yule wa addis ababa??? Samahan kukwambia ila umekurupuka kufanya maamuzi.

he kumbe kuna ya Adis Ababa.........he should be a man enough........
 
mmh... ngoja kwanza...
unampenda..ndiyo
anakupenda... (kutokana na maelezo yako) sidhani
..unajua chakufanya, sisemi zaidi
 
Mawasiliano ni kitu kizuri sana katika nyanja mbali mbali hasa kwenye mahusiano. Huyu mwanamke mi simuelewagi mpaka imenifanya nifanye maamuzi magumu.

1. Kila ukimpigia simu-kuipokea ni mpaka misdcalls tano ziite...kakusamehe sana..itaita weeee ndo ataipokea.

2. Ukimpigia simu anakua hayuko tension na simu wala kuiheshim. Japo kutambua anayeongea nae ni mumewe.


3. Kila siku wewe ndio wa kumpigia tu..yeye hakupigii. Na hata ukipiga sometimes mara ajibu kwa dharau na kwa kupayuka.



4. Hupenda kuongea kwa kupayuka na kujibu utumboutumbo pemben kukiwa na rafiki yake au mashoga zake.


5. Ni mwanamke ambaye hunijengea akili ya kuona kwamba ana mwanamme pembeni. Nikichukia yeye ndio hua furaha yake nabkuzidi kuongea huku anacheka au huku anajokes...basi hapo mi ndo nataka nipasue hata simu.



Nimeamua kumblock....nafanya maisha yangu now. Nimevurugwa vya kutosha. Moyo unauma sana now.....but yataisha tu. Au kwa mwenye kujua dawa aniambie. Nimdelete kabisa kwenye memory...koz hapa bado moyo unauma. Na sitak nijipendekeze tena kumpigia koz alishakariri kua lazima ntampigia hata tukikosana vipi.

Bora Kuvunja Uchumba Kuliko Kuvunja Ndoa,...Temana nae kicheche huyo hajielewi wacha akakutane na Mamonster wamonyeshe kwanza, i truly tell u atakuja analia.......!!
 
Yaani wewe tu kila thread kulalamika kuhusu huyo mkeo, si umuache?
Au ni wewe tu ndio una matatizo na familia yako, give people some break bwana.
Ndio maana Mwanamalundi anawaambiaga, it is your own business.
 
Last edited by a moderator:
Yaani wewe tu kila thread kulalamika kuhusu huyo mkeo, si umuache?
Au ni wewe tu ndio una matatizo na familia yako, give people some break bwana.
Ndio maana Mwanamalundi anawaambiaga, it is your own business.

Ha ha ha ha ha ha ha ha!!! Umenivunja mbavu kweli. Hawa vijana wa dot com, kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom